Huyu RC ni mtu muhimu sana ktk taifa hili. Anakaa sana kuwa rais huko baadae lakini si chama hiki.Mtaka huwa namfananisha na Mfalme Sulemani wa kwenye biblia aliambiwa omba chochote nitakupa, yeye akaomba hekima na busara na MUNGU akampa utajiri wa kutisha na hakunyanyua mabega kama akina Ndugai, Mwigulu, Olesabaya, Makonda na wapuuzi wengine