#COVID19 RC Mtaka: Hali si shwari Dodoma. Wananchi waendelee kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona

Maigizo yanaendelea.

Tumeingia kwenye kumi na nane za mabeberu!

Chezea mpunga wewe!!
Kaka jifanyie research mwenyewe uone hali halisi.Wewe kaa tu hata Moro road nje ya mji kidogo hata lisaa limoja tu kwenye mgahawa pembeni ya Moro road uone purukushani za costa zenye miili na ambulance zenye wagonjwa halafu kwa akili yako timamu kama ni mzoefu wa kuishi nchini mwetu ujiulize kama kweli hii ni "business as usual" tuliyozowea au kuna jambo lisilo ka kawaida.Majibu utayapata tu maana jamii ndio ile ile ya jana na juzi.
 
Kaka jifanyie research mwenyewe uone hali halisi.Wewe kaa tu hata Moro road nje ya mji kidogo hata lisaa limoja tu kwenye mgahawa pembeni ya Moro road uone purukushani za costa zenye miili na ambulance zenye wagonjwa halafu kwa akili yako timamu kama ni mzoefu wa kuishi nchini mwetu ujiulize kama kweli hii ni "business as usual" tuliyozowea au kuna jambo lisilo ka kawaida.Majibu utayapata tu maana jamii ndio ile ile ya jana na juzi.
Kabla ya corona watu walikuwa hawafi na kuugua?

Kulikuwa hakuna ambulance zinazopita barabarani hapo kabla?

Yaani nyinyi, mwaka huu mtazaa na mabeberu!

Hakuna cha bure!
 
Kabla ya corona watu walikuwa hawafi na kuugua?

Kulikuwa hakuna ambulance zinazopita barabarani hapo kabla?

Yaani nyinyi, mwaka huu mtazaa na mabeberu!

Hakuna cha bure!
Walikuwa wanakufa na ambulance zinapita.Tunazungumzia kiwango mzee.Mbona mbishi hivi wewe lakini?!lione bichwa lile!
 
Walikuwa wanakufa na ambulance zinapita.Tunazungumzia kiwango mzee.Mbona mbishi hivi wewe lakini?!lione bichwa lile!
Kiwango gani hicho?

Kabla ya corona kulikuwa na ambulance ngapi, na sasa baada ya corona kumekuwa na ambulance ngapi?

Eleza, kokotoa, toa na takwimu zenye ithibati acha ujinga wewe!
 
Hakuna corona wewee nyumbu. Hiyo corona iko kwenye mitandaoni ya kijamii tu na magazetini.

Huku mtaani hali ni shwari, hakuna hata sisimizi anayeugua mafua.

Mapesa ya wazungu yatawatokea puani this time round, maana mabeberu hayaelewi yanachotaka ni feedback ya udungaji wa machanjo halafu wananchi wamegoma yaani!

Sijui mtaambia nini mabeberu nyie nyumbu. Lazima yawapakue vinyeo mwaka huu.
🤣🤣Mkuu wangu nilitegemea unijibu niliyokuuliza....umeishia kusema hakuna CORONA huko mitaani....kwani ni wewe pekee unayeishi mitaani ?!!!

Corona ipo mkuu.....huko mahospitalini wagonjwa wako... wamejaa mkuu....


#TujitokezeniKuchanjwa
 
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka amewataka wakazi wa Dodoma kuchukua hatua za tahadhari dhidi ya ugonjwa wa corona kwa sababu hali si nzuri mkoani humo.

Ameyasema hayo leo Jumanne Agosti 3, 2021 wakati akizungumza na askari wa usalama wa barabarani na viongozi wa masoko wa mkoa wa Dodoma.

Amewataka askari hao, viongozi wa masoko na wafanyabiashara kuhakikisha wanachukua hatua za kujikinga katika maeneo yao kwa kuvaa barakoa na kunawa maji tiririka na sabuni au kutumia vitakasa mikono.

Pia amewataka askari wa usalama wa barabarani kuhakikisha watu wote wanakaa kwenye viti (level seat) kwenye daladala na bajaji na kwenye bodaboda kuhakikisha hawabebi abiria zaidi ya mmoja

Mwananchi
Mtaka; nyungu YATOSHA.
 
Kaka jifanyie research mwenyewe uone hali halisi.Wewe kaa tu hata Moro road nje ya mji kidogo hata lisaa limoja tu kwenye mgahawa pembeni ya Moro road uone purukushani za costa zenye miili na ambulance zenye wagonjwa halafu kwa akili yako timamu kama ni mzoefu wa kuishi nchini mwetu ujiulize kama kweli hii ni "business as usual" tuliyozowea au kuna jambo lisilo ka kawaida.Majibu utayapata tu maana jamii ndio ile ile ya jana na juzi.
Hakika....
 
Mkuu wangu nilitegemea unijibu niliyokuuliza....umeishia kusema hakuna CORONA huko mitaani....kwani ni wewe pekee unayeishi mitaani ?!!!

Corona ipo mkuu.....huko mahospitalini wagonjwa wako... wamejaa mkuu....


#TujitokezeniKuchanjwa
Mahospitali ya wapi hayo?
 
Chuma aliona mbali sana kusema Taarifa rasmi za Corona zinatolewa na Waziri mkuu au Waziri wa Afya tu. Hii ya kila kiongozi anaropoka ropoka ndio yale yale ya kuleta hofu kwa wananchi. BTW Hizo pesa za Mabeberu mtazitapika
Hakuona mbali kokote zaidi ya kutaka kubishana na akina mbowe na akina zitto walioidaka mada ya corona kabla yake. Chanzo cha ule upotoshaji wake ni ubishi tu ili kuwabishia hao jamaa.
Unataka serikali ifiche uwepo wa corona kwa kisingizio cha hofu" ?
Aliishia kuwajaza ujinga watu wengi, ndio maana mpaka leo wanaamini chanjo zimekuja kuwafanya wawe mazombi.- vichekesho sana. Yaani kipindupindu kiikumbe nchi eti tukikaushie ili kuondoa hofu! Mbongo zimo kweli humo?


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mtaka anapenda sana show off, kila siku ni matamko tu
Kinachohuzunisha matamko ya mkuu wa Dodoma, hayana "UPAKO" na hivyo hayatendewi kazi kwa sababu ya mguu alioingia nao jiji la makao makuu ya Nchi !

FB_IMG_1626514809760.jpg
 
Huko Rukwa kuna taahira mmoja amezuia kuanza zoezi la kutoa chanjo leo, mpaka achanjwe yeye kwanza hapo kesho
 
#HABARI MKUU wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka, amewataka wakazi wa Mkoa huo kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa corona kwa sababu hali iliyopo katika Mkoa huo si nzuri. /https://t.co/FCpqbS5j5U https://t.co/PV6wRszMe3
 
#HABARI MKUU wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka, amewataka wakazi wa Mkoa huo kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa corona kwa sababu hali iliyopo katika Mkoa huo si nzuri. /https://t.co/FCpqbS5j5U https://t.co/PV6wRszMe3
Kufeni na mtakufa kweli, si mlikataa? Si mlisema chadema imetumwa na mabeberu? Msiwage Wapuuzi, msiwe mnaweka siasa kwenye kila kitu. Acheni mjifunze in a hardway
 
Back
Top Bottom