RC Morogoro awasweka rumande Wakuu wa Shule baada ya shule wanazozisimamia kufanya vibaya mtihani wa Taifa

Baadhi ya maamuzi ya wanasiasa wetu yanasikitisha sana. Kuna wakati tumepata taarifa kwamba wazazi wa pande zote mbili ambao watoto wao wamepeana mimba waswekwe ndani pamoja na watoto wao waliofanya kosa hilo. Shangaa, kosa wafanye wengine halafu adhabu wapewe watu wasiohusika kabisa. Tendo lenyewe hufanyika kwa siri, sasa mzazi anaingiaje hapo?
Labda watakuwa ndo walikuwa wanawafanyisha au kuwasimamia
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom