Kuchitimbo
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 364
- 279
Labda watakuwa ndo walikuwa wanawafanyisha au kuwasimamiaBaadhi ya maamuzi ya wanasiasa wetu yanasikitisha sana. Kuna wakati tumepata taarifa kwamba wazazi wa pande zote mbili ambao watoto wao wamepeana mimba waswekwe ndani pamoja na watoto wao waliofanya kosa hilo. Shangaa, kosa wafanye wengine halafu adhabu wapewe watu wasiohusika kabisa. Tendo lenyewe hufanyika kwa siri, sasa mzazi anaingiaje hapo?