RC Mnyeti unacheza na moto. Hakuna aliyewahi kujaribu kuwashusha Wachaga akafanikiwa

Kwenye ili bado alijaniingia akili mbona vija wanakimbilia dar kuja kuwa mafundi beskeli, shoeshine, wachoma mahindi, kuuza mkaa wakopo, kufanya kaz za bar, unajua dar wachaga ndiyo wanaongoza kufanya kaz za chini sana mfano kuuza maji na matoroli, naomba ufafanusi kidogo hapo nanyie mnasema ni wasomi kuliko watu wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo makundi yote
Wasomi wapo wengi, wafanyabiashara wakubwa wapo wengi,ukija wafanyabiashara wa Kati wapo wengi ,ukija kila sekta wapo wengi nk
Hao unaosema wanauza maji n'a matoroli ulishafika nyumbani kwao?
Unajua kuwa kwa Siku huyo muuza maji Ana uwezo wa kupata hata elfu 40? Hutaamini ukifika kwao utadhani ni kwa meneja wa bank
Wanafanya kwa malengo
Kiufupi kila kundi tupo na ndio dhana halisi ya uchumi,yaan kuwe na mnyororo wa kazi
Hakuna eneo lolote nchi hii utakosa mchaga,na mahali penye mchaga lazma paendelee hata kama ni porini,huwa wanabuni fursa popote walipo
kule kilimanjaro walishabuni fursa zote sasa wamehamia kwingine alafu Wana maintain kwao ndio maana kilimanjaro mwaka kilimanjaro lazma iwe juu kwa uchumi wa watu wake
Kiufupi 90% ya Wana kilimanjaro Wana kipato kizuri 10% tu ndio wapo low,lengo letu tunataka 100% tuwe clear


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfano dar wachaga wana ongoza kwa kufa sana au kwasababu vijana wengi wakichaga mnaendesha bodaboda ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wanakufa Sana mbona hawapungui? Hahaha
Sio tu bodaboda,Hakuna kazi yoyote utamkosa mchaga iwe professional au Ya kujiajiri,mwendesha bodaboda anaongiza héla nyingi mno,unakuta anazo 3 kakodishia kwa Siku anakusanya 60 elfu utajilinganisha nae?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wanakufa Sana mbona hawapungui? Hahaha
Sio tu bodaboda,Hakuna kazi yoyote utamkosa mchaga iwe professional au Ya kujiajiri,mwendesha bodaboda anaongiza héla nyingi mno,unakuta anazo 3 kakodishia kwa Siku anakusanya 60 elfu utajilinganisha nae?

Sent using Jamii Forums mobile app
Uwezi jua kama wanapungua lazima uwe umefanya utafiti, kiukweli bodaboda zinawamaliza kweli au kwasababu ni walevi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko vizuri kiuchumi. Najua ninavyopanga muda wangu. Hawa wanywa mbege wamezidi kujitekenya. Lazima tuwape wanachostahili

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni maskini wa uchumi na akili. Mtu mmoja siku nzima unabishana na watu 50. Na ubishani wako umekaa kiwivu kama unaimba taarabu.

Nakushauri acha wivu fanya kazi. Hawa watu wa migombani huwawezi hata kwa uchawi. Ni ushauri tu sio lazima uufuate...

Utakufa kwa kijiba cha roho
 
Wewe jamaa pole sana. Hunijui sikujui, cha ajabu unasema mimi maskini. Sasa nakualika pm uje tupange na unitembelee uone ninavyoishi. Punguzeni sifa wanakilimanjaro, ni kweli mlitangulia kusoma lakini Tanzania hii kwa sasa watu wanasoma na wanajenga kuliko hata hao wachagga. Ninyi mmekariri bila kuzingatia kwamba mikoa mingine watu waliamua kujenga mijini badala ya kijijini kutokana na mazingira na utamaduni wa eneo husika.
Ndio maana nasema acheni kujikweza sana wakati wengi kimaisha mko hoi bin taaban.
Wewe ni maskini wa uchumi na akili. Mtu mmoja siku nzima unabishana na watu 50. Na ubishani wako umekaa kiwivu kama unaimba taarabu.

Nakushauri acha wivu fanya kazi. Hawa watu wa migombani huwawezi hata kwa uchawi. Ni ushauri tu sio lazima uufuate...

Utakufa kwa kijiba cha roho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe jamaa pole sana. Hunijui sikujui, cha ajabu unasema mimi maskini. Sasa nakualika pm uje tupange na unitembelee uone ninavyoishi. Punguzeni sifa wanakilimanjaro, ni kweli mlitangulia kusoma lakini Tanzania hii kwa sasa watu wanasoma na wanajenga kuliko hata hao wachagga. Ninyi mmekariri bila kuzingatia kwamba mikoa mingine watu waliamua kujenga mijini badala ya kijijini kutokana na mazingira na utamaduni wa eneo husika.
Ndio maana nasema acheni kujikweza sana wakati wengi kimaisha mko hoi bin taaban.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani nije PM kupanga kukutembelea? Kwamba nimekosa la kufanya???

Wewe ni maskini tu huna lolote.

Endelea kubishana na wazee wa migombani uone kama utaupiga vita umaskini uliokuzingira.

Kama wewe si mwanamke basi Una wivu wa kike
 
KWANI NYIE KINA NANI ??? ACHENI KUJI PROUD NANI WA KUWASHUSHA SASA NYIE MAROFA NINI .. YAANI NYIE NA WAHAYA NI SAWA NA MTOTO WA SHANGAZI NA WA MJOMBA ,, HAMPISHANI KABISA
 
anafikiri wachaga ni kama sisi wagogo, ukiambiwa kaa unakaa, ukiambiwa simama unasimama bila why.
 
Kuna baadhi ya makabila au dini huwa mtu akifariki ikibidi anazikwa siku hiyohiyo au kesho yake sasa watu kama hao wana sababu gani ya kutangaza kwa wachaga mtu anaweza asizkwe kwa sababu ya mtu mmoja tu hajafika
Lakini pia wachaga wamesambaa sana
Daaah Nyie naona kama mnakufa wengi mpaka naona uruma, utasika familia ya ngowi iliyopo mbezi kibanda cha mkaa wanatangaza kifo cha baba yao kilichotokea kcmc mipango ya mazishi yanafanyika manzese mbokom bar na maziko yatafanyika kiliavunjo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah Nyie naona kama mnakufa wengi mpaka naona uruma, utasika familia ya ngowi iliyopo mbezi kibanda cha mkaa wanatangaza kifo cha baba yao kilichotokea kcmc mipango ya mazishi yanafanyika manzese mbokom bar na maziko yatafanyika kiliavunjo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Una akili ndogo sasa wewe!!!unasahau kwamba ni utamaduni wa wana Kilimanjaro kutangaza matangazo ya vifo huku jamii nyingine hazina utamaduni huo..Unaweza kudhani kuwa wachaga ndo hufa kila siku no unakosea sana!ni kwasabab wana utamaduni wa kutangaza matangazo ya vifo...

Poor your mind

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamuulize Nyerere, BMW, Muulize Mo, Bakhresa, Waulize matajiri wakubwa wa hii nchi Wachaga ni kina nani.

Wewe kapuku huwezi elewa jambo lolote kuhusu Wachaga.

Tunajua nchi hii ni Masikini. Na wapo wachaga masikini. Lakini nakuhakikishia Matajiri wengi wakubwa katika nchi hii ni Wachaga baada ya watu wa jamii ya kiasia.

Ukitaka kujua jambo hilo fuatilia makampuni makubwa binafsi, nenda kwenye migodi, nenda kwenye sekta ya usafirishaji.

Hawa jamaa wapo juu miaka mingi sana.

Mimi sipendi ukabila. Bahari nzuri sio mchaga. Ila sishindwi kuwasifia wachaga. Kwa sababu nawajua vizuri tabia zao, utamaduni wao na jinsi walivyo.

Shida ya Wachaga ni Wezi, tamaa ya pesa, ni rahisi kukusaliti kisa pesa kama sio kukuua kabisa.

Wachaga ni Watanzania kama walivyo Watanzania wengine.

Wapo juu kuliko makabila mengi hapa nchini.

Kama wewe hukubalo jambo hili basi hata aliyekubeba tumboni na Baba yako wanajua. Sembuse wewe.

Shida ya Wachaga wanauroho wa pesa.
Hivi wachaga wote ni wezi na wana tamaa ya pesa ?
 
Mimi si mchagga lakini ni mkristo mzuri sana kiasi cha kufika hata Jerusalem,israel.,kitu ambacho kimenishangaza sana ni utamaduni wao wa kuchinja mnyama kila mwaka,pia wana tabia ya kuitana kiukoo na kukaa pamoja,kila mwishoni mwa mwaka,ninapo jaribu kulinganisha hizi desturi nashindwa kuelewa ispokuwa wao husali sabath,na maneno yao sana wanayotumia kama Shaloom!,/ hawamwamini yesu kristo,lakini 8% wameanza kumwamini kristo,seriously it comfuse me!,kwa nini tamaduni zi match kwa 80%.
Ni hayo tu.
Sisi wachaga asili yetu ni Asia
 
Back
Top Bottom