cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,769
- 73,456
Naona hizi mvua zimerudisha akili yako.
Mvua wapi? Hapa kijijini kwetu pakavu hadi naombea inyeshe..
Naona hizi mvua zimerudisha akili yako.
sasa sisi tufanyaje? nchi inaendeshwa kihuni haijulikani dereva ni nani na mpiga debe ni nani, mmehiaribu sana hii nchi. yaani watanzania hapa tulikosea sana Mungu atusamehe
Haaaaahahaaaa!! sio papara, ujuaji na kutotaka kusikiliza maoni ndo kuna mponza??Kigwangwala ni waziri mwenye gundu sana .
Inawezekana sisi Kwa nje,tunaona kama ametengua kauli ya waziri,lkn pengine walipanga wote wafanye sinema ili wapate sifa za kisiasaKatika hali isiyo ya kawaida mkuu wa mkoa wa Manyara ametengua agizo la Waziri wa Maliasili na Utalii la kutaka wakazi wa Kimontorok mkoan Manyara kuhama eneo la hifadhi.
Chanzo: Azam news
Hapo u senior haupo, hapo ni nani ana nguvu ya ushawishi na anakubalika kwa kiwango kikubwa na Bwana Yule.Hivi Waziri na mkuu wa mkoa nani senior kwa mwenzie? Kuna umuhimu wa katiba haapa