cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,072
- 1,697
Asalaam:
Nimeandika kwa maskitiko makubwa sana
Kwa niaba ya wakazi wote wa jiji la mwanza na vitongoji vyake, ningependa kutoa malalamiko yangu kwa uongozi wote wa jiji la Mwanza
Mwanza ni jiji pendwa hana hapa Tz & East Africa baada ya Dar
Mwanza ndio Second City hapa Tz way back , najua kwa point hii wale jamaa zetu wanao battle na jiji hili watanipinga lakini ukweli utabaki pale pale kwamba
Mwanza ni Second City
Mwanza ndio business hurb ya lake zone & East Africa country
Ni mji maridhawa na wenye mandhali ya kuvutia na watu wake wakarimu sana
Kwa sasa ni jiji lenye miradi mingi mikubwa ya kimkakati inayoendelea
Kero kubwa ya jiji hili ni barabara zake kutokuwa na taa za barabarani zinazosaidia kupunguza uhalifu na ndio kilichopelekea kuandika huu uzi na kuulaumu uongozi wa halmashaur ya jiji la Mwanza
Viongozi mtueleze mnakwama wapi wakati karibu mikoa yote Tz ina taa za barabarani za kuzuia uhalifu?
Mtuwekee taa jamani zinazoendana na hadhi ya jiji hili pendwa tumechoka kutembea kwa mashakamashaka mjini hapa
Kama mnaona hamfit kwenye hizo nafas zenu mlizokaa, wapisheni wapisheni wanaoweza kututatulia hizo changamoto wakae maana tumeshapaza sana sauti mpaka makoo yanakauka
Taa zipo nchi nzima kwanini iwe Mwanza pekee?
Tunataka viongozi wapenda maendeleo sisi.
Nimeandika kwa maskitiko makubwa sana
Kwa niaba ya wakazi wote wa jiji la mwanza na vitongoji vyake, ningependa kutoa malalamiko yangu kwa uongozi wote wa jiji la Mwanza
Mwanza ni jiji pendwa hana hapa Tz & East Africa baada ya Dar
Mwanza ndio Second City hapa Tz way back , najua kwa point hii wale jamaa zetu wanao battle na jiji hili watanipinga lakini ukweli utabaki pale pale kwamba
Mwanza ni Second City
Mwanza ndio business hurb ya lake zone & East Africa country
Ni mji maridhawa na wenye mandhali ya kuvutia na watu wake wakarimu sana
Kwa sasa ni jiji lenye miradi mingi mikubwa ya kimkakati inayoendelea
Kero kubwa ya jiji hili ni barabara zake kutokuwa na taa za barabarani zinazosaidia kupunguza uhalifu na ndio kilichopelekea kuandika huu uzi na kuulaumu uongozi wa halmashaur ya jiji la Mwanza
Viongozi mtueleze mnakwama wapi wakati karibu mikoa yote Tz ina taa za barabarani za kuzuia uhalifu?
Mtuwekee taa jamani zinazoendana na hadhi ya jiji hili pendwa tumechoka kutembea kwa mashakamashaka mjini hapa
Kama mnaona hamfit kwenye hizo nafas zenu mlizokaa, wapisheni wapisheni wanaoweza kututatulia hizo changamoto wakae maana tumeshapaza sana sauti mpaka makoo yanakauka
Taa zipo nchi nzima kwanini iwe Mwanza pekee?
Tunataka viongozi wapenda maendeleo sisi.