red bandama
JF-Expert Member
- Jul 29, 2016
- 483
- 573
Huyu ndo alipanga kumuua tundu lissu
Mungu atawaumbua
Mungu atawaumbua
Mkuu wakati anapika hizo data wewe ulikua ukimsaidia kuchochea moto nini??Makonda ameyasema hayo jijini Dar es salaam kwamba mkoani kwake anataka maendelo tu.
Pia kagusia na mheshimiwa mzito kupelekwa milembe, angalia dk ya 3 ya video
Kwa upande wangu naona zitto awekwe tu kwa kupika data na anazipikia ndani ya mkoa wa dsm
Makonda ameyasema hayo jijini Dar es salaam kwamba mkoani kwake anataka maendelo tu.
Pia kagusia na mheshimiwa mzito kupelekwa milembe, angalia dk ya 3 ya video
Kwa upande wangu naona zitto awekwe tu kwa kupika data na anazipikia ndani ya mkoa wa dsm
Ushahidi please.Huyu ndo alipanga kumuua tundu lissu
Mungu atawaumbua
Hivi Bashite na Mahakama mwenye maamuzi juu ya kuachiwa kwa mtuhumiwa ni nani? Hawa ndiyo wanaovunja katiba kwa kutoheshimu mihimili fulani ya dola.
Kasahau hata Nyalandu huyu huyu alikuwa design kama Bashite wa leo (aka mtoto aliyependezwa na Bwana) enzi za JK. Siku hazigandi.Mali ya mungu akumbuke wakati ni ukuta na kila zama na kitabu chake akuna anayejua kesho yake miaka huisha haraka