johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,768
- 141,632
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Dr Mghwira amewatataka TRA kuacha kukusanya kodi kama polisi bali wazingatie dhana ya Huduma kwa mteja ( Customer Care) yaani kumjali mteja.
Mghwira amesema wafanyabiashara siyo majambazi na siyo jambo jema kuwaona wakifunga biashara kila siku.
Naye mbunge wa Hai mh Mafue amewataka TRA kuondoa fikra walizonazo kuwa wafanyabiashara ni kama maadui zao kwa sababu mtu kuwa tajiri siyo dhambi.
Mafue anahoji kama mtaendelea kuwaminya namna hii wafanyabiashara mnadhani huko mbele kodi mtakusanya wapi kwa sababu hawa wote hawatakuwepo.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Mghwira amesema wafanyabiashara siyo majambazi na siyo jambo jema kuwaona wakifunga biashara kila siku.
Naye mbunge wa Hai mh Mafue amewataka TRA kuondoa fikra walizonazo kuwa wafanyabiashara ni kama maadui zao kwa sababu mtu kuwa tajiri siyo dhambi.
Mafue anahoji kama mtaendelea kuwaminya namna hii wafanyabiashara mnadhani huko mbele kodi mtakusanya wapi kwa sababu hawa wote hawatakuwepo.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!