Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mkuu wa MKOA WA MBEYA(ameagiza MBUNGE wa Mbeya MJINI Ndg. JOSEPH MBILINYI( RAIS wa Mbeya) AKAMATWE na POLISI kufuatia kikao chake na wafanyabiashara ndogox2 waliokuwa wakitoa KILIO kwa Mbunge wao kufuatia KULAZIMISHWA kununua 'VITAMBULISHO' vya Machinga'
======
Kamanda wa Polisi Ulrich Matei amethibitisha kumuhoji Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu kwa kukashfu vitambulisho vya Serikali
Imeelezwa kuwa Mbunge huyo ameonekana kulikosoa zoezi la kugawa vitambulisho kwa Wafanyabiashara wadogo kwa kutumia kauli za uchochezi
Kamanda Mtei amesema kauli za Mbunge huyo zilijaa kashfa na kebehi
======
Updates:
SUGU ANYIMWA DHAMANA, KULALA RUMANDE
Mbunge huyo wa Jimbo la Mbeya Mjini aliitwa kuhojiwa na RPC wa Mkoa huo kwa tuhuma za kutoa kauli ya uchochezi
Mbunge huyo anatuhumiwa kwa kutoa kauli ya kuvikashfu vitambulisho vilivyotolewa na Serikali kwa ajili ya Wafanyabiashara
======
Kamanda wa Polisi Ulrich Matei amethibitisha kumuhoji Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu kwa kukashfu vitambulisho vya Serikali
Imeelezwa kuwa Mbunge huyo ameonekana kulikosoa zoezi la kugawa vitambulisho kwa Wafanyabiashara wadogo kwa kutumia kauli za uchochezi
Kamanda Mtei amesema kauli za Mbunge huyo zilijaa kashfa na kebehi
======
Updates:
SUGU ANYIMWA DHAMANA, KULALA RUMANDE
Mbunge huyo wa Jimbo la Mbeya Mjini aliitwa kuhojiwa na RPC wa Mkoa huo kwa tuhuma za kutoa kauli ya uchochezi
Mbunge huyo anatuhumiwa kwa kutoa kauli ya kuvikashfu vitambulisho vilivyotolewa na Serikali kwa ajili ya Wafanyabiashara