johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,582
- 141,382
Katika mkutano wake wa kwanza wa kumkaribisha alipewa ripoti kwamba Jiji la Mwanza lina Mgao wa Maji kwa sababu.pampu moja ni mbovu
Kuanza kibarua huku Wananchi wa Nyamagana na Kirumba hawana Maji ya uhakika siyo jambo jema kwa kweli
Kila la kheri Adam
Kuanza kibarua huku Wananchi wa Nyamagana na Kirumba hawana Maji ya uhakika siyo jambo jema kwa kweli
Kila la kheri Adam