Entim
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 4,021
- 2,253
Umakini gani tena kumbe korona ipo? Au ipo lakini haiwui mtu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama tumeandikiwa kufa kwa korona acha tufe tukiwa tumesimama, sio kufa umejificha chumbani.
Kila MTU afanye kazi kama kawaida japo kwa umakini.
Sent using Jamii Forums mobile app