johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,828
- 141,739
- Thread starter
- #21
Anahusikaje?!Kigwangala amesikia hii
Anahusikaje?!Kigwangala amesikia hii
seriously, viongozi wa dini wanaokaa na kumsikiliza Bashite...... sijui hawa ni viongozi wa dini za mungu wa wapi??Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amefanya kikao na viongozi wa dini kupitia jukwaa lao la Kamati ya maridhiano.
Makonda amewataka viongozi hao wa dini kuuombea uchaguzi mkuu ili wakapatikane viongozi watakatifu watakaomsaidia Rais Magufuli katika awamu yake ya pili ya uongozi.
Makonda amesema kuna watu hutoa makafara ya damu ili washinde uchaguzi ikiwemo kusababisha ajali za barabarani, vifo vya watu kwenye mikutano na wengine huuwa watoto wao wachanga.
Chanzo: EATV habari
Maendeleo hayana vyama!
Naamini hao viongozi wa dini wanakumbuka Kama 'mtu hunena yake yaliyoujaza moyo wake'Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amefanya kikao na viongozi wa dini kupitia jukwaa lao la Kamati ya maridhiano.
Makonda amewataka viongozi hao wa dini kuuombea uchaguzi mkuu ili wakapatikane viongozi watakatifu watakaomsaidia Rais Magufuli katika awamu yake ya pili ya uongozi.
Makonda amesema kuna watu hutoa makafara ya damu ili washinde uchaguzi ikiwemo kusababisha ajali za barabarani, vifo vya watu kwenye mikutano na wengine huuwa watoto wao wachanga.
Chanzo: EATV habari
Maendeleo hayana vyama!
Kwa maneno mengine anawataka viongozi wa dini wamuombe Mungu awasaidie viongozi wa CCM wapite katika uchaguzi 2020.ili wakapatikane viongozi watakatifu watakaomsaidia Rais Magufuli katika awamu yake ya pili ya uongozi.
Kesha mteua Rais!Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amefanya kikao na viongozi wa dini kupitia jukwaa lao la Kamati ya maridhiano.
Makonda amewataka viongozi hao wa dini kuuombea uchaguzi mkuu ili wakapatikane viongozi watakatifu watakaomsaidia Rais Magufuli katika awamu yake ya pili ya uongozi.
Makonda amesema kuna watu hutoa makafara ya damu ili washinde uchaguzi ikiwemo kusababisha ajali za barabarani, vifo vya watu kwenye mikutano na wengine huuwa watoto wao wachanga.
Chanzo: EATV habari
Maendeleo hayana vyama!
Bashite ndio bingwa wa hayo yote du siasa ni hatari.Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amefanya kikao na viongozi wa dini kupitia jukwaa lao la Kamati ya maridhiano.
Makonda amewataka viongozi hao wa dini kuuombea uchaguzi mkuu ili wakapatikane viongozi watakatifu watakaomsaidia Rais Magufuli katika awamu yake ya pili ya uongozi.
Makonda amesema kuna watu hutoa makafara ya damu ili washinde uchaguzi ikiwemo kusababisha ajali za barabarani, vifo vya watu kwenye mikutano na wengine huuwa watoto wao wachanga.
Chanzo: EATV habari
Maendeleo hayana vyama!