Uchaguzi 2020 RC Makonda: Viongozi wa dini ombeeni uchaguzi ili tupate viongozi Watakatifu wa kumsaidia Rais Magufuli na watoa kafara wasifurukute

RC, mabingwa wa nyaraka wapo kimyaaaaa, hawaoni chochote kinachofaa kutolea NYARAKA. Lim zimejaaa
 
Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amefanya kikao na viongozi wa dini kupitia jukwaa lao la Kamati ya maridhiano.

Makonda amewataka viongozi hao wa dini kuuombea uchaguzi mkuu ili wakapatikane viongozi watakatifu watakaomsaidia Rais Magufuli katika awamu yake ya pili ya uongozi.

Makonda amesema kuna watu hutoa makafara ya damu ili washinde uchaguzi ikiwemo kusababisha ajali za barabarani, vifo vya watu kwenye mikutano na wengine huuwa watoto wao wachanga.

Chanzo: EATV habari

Maendeleo hayana vyama!
seriously, viongozi wa dini wanaokaa na kumsikiliza Bashite...... sijui hawa ni viongozi wa dini za mungu wa wapi??
 
Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amefanya kikao na viongozi wa dini kupitia jukwaa lao la Kamati ya maridhiano.

Makonda amewataka viongozi hao wa dini kuuombea uchaguzi mkuu ili wakapatikane viongozi watakatifu watakaomsaidia Rais Magufuli katika awamu yake ya pili ya uongozi.

Makonda amesema kuna watu hutoa makafara ya damu ili washinde uchaguzi ikiwemo kusababisha ajali za barabarani, vifo vya watu kwenye mikutano na wengine huuwa watoto wao wachanga.

Chanzo: EATV habari

Maendeleo hayana vyama!
Naamini hao viongozi wa dini wanakumbuka Kama 'mtu hunena yake yaliyoujaza moyo wake'
 
Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amefanya kikao na viongozi wa dini kupitia jukwaa lao la Kamati ya maridhiano.

Makonda amewataka viongozi hao wa dini kuuombea uchaguzi mkuu ili wakapatikane viongozi watakatifu watakaomsaidia Rais Magufuli katika awamu yake ya pili ya uongozi.

Makonda amesema kuna watu hutoa makafara ya damu ili washinde uchaguzi ikiwemo kusababisha ajali za barabarani, vifo vya watu kwenye mikutano na wengine huuwa watoto wao wachanga.

Chanzo: EATV habari

Maendeleo hayana vyama!
Kesha mteua Rais!
 
Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amefanya kikao na viongozi wa dini kupitia jukwaa lao la Kamati ya maridhiano.

Makonda amewataka viongozi hao wa dini kuuombea uchaguzi mkuu ili wakapatikane viongozi watakatifu watakaomsaidia Rais Magufuli katika awamu yake ya pili ya uongozi.

Makonda amesema kuna watu hutoa makafara ya damu ili washinde uchaguzi ikiwemo kusababisha ajali za barabarani, vifo vya watu kwenye mikutano na wengine huuwa watoto wao wachanga.

Chanzo: EATV habari

Maendeleo hayana vyama!
Bashite ndio bingwa wa hayo yote du siasa ni hatari.
 
Kwakuwa wanachama wa CCM ni watanzania wenzetu, na kwa mwenendo wa siasa za nchi yetu zilipofikia, CCM kama kweli ina malengo madhubuti ya kuendeleza ilichokianza ndani ya miaka mitano hii inayoisha, basi wahakikishe wanaweka madiwani na wabunge wenye shule, mambo ya mipasho kwenye mabaraza ya madiwani na hadi kule bungeni haina tija.

Mwaka 2021 kata inaongozwa na diwani darasa la saba? Huko kwenye chama hebu fanyeni kweli. Tunahitaji vichwa kwelikweli.
Basi vileteni.
 
Back
Top Bottom