Leo Hii Ukiongea Na Mashehe Wa Dar Umejinasibu Kuwa Wauza Unga Mnaendelea Kuwadhibiti. Na Kwamba Hata Unga (ngada) Umeadimika.
Kilicho nigusa Zaidi Ni Pale Uliposema Mmesambaza Majina Ya Mnao Watuhumu Kuuza Ngada Ktk Viwanja Vya Ndege, Na Mipaka Yote Ya Nchi.
Najiuliza:
Unatoa Taarifa Ya Vita Ya Nchi Nzima Dhidi Ya Dawa Za Kulevya Kama Nani? Na Je,
Waziri Mkuu Ambaye Ndiye Mwenyekiti Baraza La Kuratibu Na Kupambana Na Dawa Za Kulevya Atasema Nn?
Usijitangulize Mbele Kifront Muachie Waziri Mkuu Suala Hili.
Kilicho nigusa Zaidi Ni Pale Uliposema Mmesambaza Majina Ya Mnao Watuhumu Kuuza Ngada Ktk Viwanja Vya Ndege, Na Mipaka Yote Ya Nchi.
Najiuliza:
Unatoa Taarifa Ya Vita Ya Nchi Nzima Dhidi Ya Dawa Za Kulevya Kama Nani? Na Je,
Waziri Mkuu Ambaye Ndiye Mwenyekiti Baraza La Kuratibu Na Kupambana Na Dawa Za Kulevya Atasema Nn?
Usijitangulize Mbele Kifront Muachie Waziri Mkuu Suala Hili.