Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,841
- 54,059
Hahahahahaaaa!Mimi mwenyewe sijui.Ila kumpa mimba mwanamke inaleta heshima...kama nani kwa mfano.
Hahahahahaaaa!Mimi mwenyewe sijui.Ila kumpa mimba mwanamke inaleta heshima...kama nani kwa mfano.
Mleta Mada Lengo Lake Ni Kuwa Bashite, Hana Nia Nzuri, Na Anayofanya Sio Kazi yake, Pili anatumia Wanawake na Watoto, Kuwadhalilisha, na Kudhalilisha Watu wengine. Na mwisho wa siku hana Uwezo wa Kuwasaidia, Kwa Kuwa When it comes to these issues Bashite, au Makonda is Nobody! Kama anania Nzuri MaTV Cameras ya Nini? Huyu Ni Political Scavenger, Ni sawa na Kunguni ambaye hana Aibu akitaka Damu atakunywa ya Mtoto Mchanga au hata Mgonjwa!Kwani mleta mada lengo lako hasa ni nini? nauliza tu.
Wa charambe atakua wa manjiKesho akitokea mtu wa Charambe, Yericko atasema anamjua na anaishi nae huko.
Mzee kamdhalilisha mzee mkubwa kwa cheo kwa kugoma kurudi CCM. Ule ulikuwa usajili muhimu mno ili justification ikamilike kwa wale tunaonunua.Kwani mleta mada lengo lako hasa ni nini? nauliza tu.
Niliwahi kuoneshwa mtoto wa kikwete wa nje uku Zanzibar mitaa ya Mombasa, alikuwa akitoka shule kurudi kwao.Lowassa na Kikwete walikuwa ni "vipanga" wakati wa ujana nao!
Tatizo lenu mnadhani wanasiasa ni Miungu!
Nenda Dodoma ukajionee yanayofanywa na wanasiasa baada ya vikao vya bunge jioni ili ujifunze kuwa wanasiasa ni binadamu kama wewe kwa maana kuwa "mashine" zao zinafanya kazi katika "mazao" ya aina zote.
Kwani kuwa na mtoto nje ya ndoa ni kosa la jinai?
Kwa nini mnatumia nguvu nyingi kumteteta mwanamme utadhani ninyi ni wake zake?
Hujui kuwa na Lowassa alikuwa kada wa CCM na kwa mantiki hii alikuwa na nafasi nzuri ya kumpata kada mwenzake!
Leo Yericko amekuwa ni mtetezi wa Lowassa wakati kabla ya 2016 alikuwa analeta thread kila siku za kumponda Lowassa?
Hii dunia ni mviringo
Tutasikia na kuona mengi?
Yericko ni mtoto wa Kiboko Nyerere hana haja ya kutafuta baba yake. Tofauti tu labda Kiboko alisingiziwa mimba ya Yericko lakini mradi Kiboko alimkubali Yericko kama mtoto wake basi ni mwanafamilia ya Nyerere.Return Of Undertaker Hii hoja ni dhaifu sana. Hata Fred lowassa Floral Lowassa ni makada wa chama cha Mapinduzi haijalishi kuwa kada.
Hapa hoja ni kwamba ni mtoto wa Lowassa au Lah.
Masuala ya Itikadi haiwezi kumfanya mtu asiwe mtoto wa kiongozi yeyote hapa nchini.
Mwambieni Yeriko aende akamtafue babake aache kujipachika ukoo wa Nyerere
NCHI ina WAPUMBAVU wengi kwa sasaHuyu nyamitako amefanya siasa za majitaka sana na bado kuna wapumbavu wanamuona ni mtu wa maana
Mwemezi kwenye 1&2Hiyo hapo sijui itaenda kutua wapi?
View attachment 740890....