britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
"Mimi nimemkataa Lowassa kipindi bado anatisha , mungemchagua ningekuwa jela muda huu
Mimi nilimkataa tokea Niko Umoja wa vijana namkumbuka niliitisha press na waandishi wa habari nilipotamka kwamba Lowassa hafai kuwa Rais mmoja alidondosha glass Kwa kuogopa, na waandishi wa habari wakakimbia kuniachia makamera mimi,
Hivo nilimkataa bado akiwa anatisha siyo mda huu hana nguvu tena"
Mwisho wa kumnukuu makonda
Mimi nilimkataa tokea Niko Umoja wa vijana namkumbuka niliitisha press na waandishi wa habari nilipotamka kwamba Lowassa hafai kuwa Rais mmoja alidondosha glass Kwa kuogopa, na waandishi wa habari wakakimbia kuniachia makamera mimi,
Hivo nilimkataa bado akiwa anatisha siyo mda huu hana nguvu tena"
Mwisho wa kumnukuu makonda