PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,522
- 13,110
Duh!!!
Duh!!!
Alisha yaeleza yote kwenye insta yake, akapata comment za aandike kitabu ndo nae akaandika.
Ohooooo!!!Bure sikitaki ,Amekimbia mke na watoto USA kisa majukumu akueka upupu huo kwenye kitabu.
Mtu asiye kuwa na elimu kuzindua kitambu kilichoandikwa na mwenye elimu. Only, in Tanzania...
Kwa nini usitafute wasomi tu hapa nchini people like Mfuruki, Mengi, et all
Kitabu kimekua bahari ya mjini
- Kitabu kipya cha "MY AMERICAN EXPERIENCE" kinatazamiwa kuzinduliwa rasmi Ijumaa ya tarehe 31/8/2018 katika Ukumbi wa King Solomon Hall uliopo Namanga pembeni ya Bestbite na kitazinduliwa rasmi na Mkuu wa Mkoa wa Dar Mh. Paul Makonda. Uzinduzi huo utakaoanza Saa Kumi na Moja kamili jioni utasindikizwa na Muziki mzito wa bendi maarufu nchini FM Academia au Wazee wa Ngwasuma, na pia zitawashirikisha wasanii wengi wa Bongo Fleva. Watu wengi maarufu wanatazmiwa kuhuduria uzinduzi huo ambao unategemea kuisha saa sita kamili za usiku. Pia Vitabu hivyo vitaanza kuuza rasmi hapo ukumbini baada ya kuzinduliwa kwa bei ya Tsh. 15K tu! ....WANANCHI WOTE MNAKARIBISHWA KIINGILIO NI BURE!...Kitabu hiki amabcho tayari kimekua bahari ya mjini hata kabla ya kutoka, tayari uzinduzi wake umeweka racord ya Wadhamini ambao tayari wameshafikia 20.
- Tunategemea wawakilishi wa Jamiiforums kwenye uzinduzi maana bila JF mimi nisingekuwa what I am today na Mitandao.
le Mutuz Superbrand
Exactly..Mtu mafanikio hana..unaandika historia yako ili iweje sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni miongoni mwa wabebez wake??? amehusisha kitabu chake na maisha yake ya ndoa.Ila ukweli ni kwamba amekimbia amerika kwa hofu na kushindwa kwa majukumu ya wana na mke .Find the copy of that taka taka uoneHivi uzoefu wake wa marekan unauhusiano wa moja kwa moja na maisha yake binafsi?
Mfano akisema kwa uzoefu wake kupata green card kwa lottery ni bingo zaidi kwa mtu mweusi. Kwan nimeona wengi wana abcde baada ya kupata. (Huu ni uzoefu)
Ni sawa na akisema ndoa yangu ilivunjika kwasabb nilikuwa nakoroma?(personal life)
Labda nikuulize hivi experience yaan uzoefu ni sawa na maisha binafsi?
ahhha haahh pamoja sana mkuu
Yani kukoroma kuvunje ndoa *****Hivi uzoefu wake wa marekan unauhusiano wa moja kwa moja na maisha yake binafsi?
Mfano akisema kwa uzoefu wake kupata green card kwa lottery ni bingo zaidi kwa mtu mweusi. Kwan nimeona wengi wana abcde baada ya kupata. (Huu ni uzoefu)
Ni sawa na akisema ndoa yangu ilivunjika kwasabb nilikuwa nakoroma?(personal life)
Tutajifunza nini kwake?Yy anaongelea uzoefu wake wa kuish marekani. Na wala hajizungumzii yy maisha yake halisi.
Ama mm ndio sijamuelewa?