Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 3,791
- 3,360
- Thread starter
- #101
Kwa maelezo ya RC kwenye hotuba yake ni bacteria, viruses waliopandikizwa au sumu hatari wanaotumiwa/zinazotumiwa kuambukiza maadui waangamie. Na akasema, hata hawa nzige wa jangwani waharibufu,wamepandikizwa ili........Mm binafsi naomba kujuzwa biological wepons ni nini?
Kwa kudadavua vizuri.