johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,845
- 141,767
Ijumaa ijayo itakuwa ni siku ya kipekee kwa watu wenye ulemavu wanaoishi Dsm kwani mkuu wa mkoa mh Makonda ameandaa futari kwa ajili yao
Waandazi katika shughuli hiyo watakuwa ni wasanii maarufu na waandishi nguli wa habari.
Watu wenye ulemavu wanaalikwa bila kukosa kwani mkuu wa mkoa mh Makonda atafuturisha kama ishara ya kumuenzi mzee Mengi aliyekuwa ni rafiki mkubwa wa walemavu.
Chanzo: Clouds tv!
Waandazi katika shughuli hiyo watakuwa ni wasanii maarufu na waandishi nguli wa habari.
Watu wenye ulemavu wanaalikwa bila kukosa kwani mkuu wa mkoa mh Makonda atafuturisha kama ishara ya kumuenzi mzee Mengi aliyekuwa ni rafiki mkubwa wa walemavu.
Chanzo: Clouds tv!