RC Makonda: Jiji la Dar es Salaam liko salama, wananchi msiwe na hofu

Hawa jamaa sijui vipi? Kwa hiyo mlikuwa mnataka wakae kimya tu wakati intelejensia yao imeonyesha kuna uwezekano wa kushambuliwa?

Yaani badala ya kushukuru mnalaumu. Si ajabu mngepewa hizi taarifa mngezikalia badala ya kuutahadharisha umma, wameona bora wao wautangazie uma kuepusha madhara.

Kuna ubaya gani katika hilo?. Badala ya kukanusha fanyieni kazi hizo rumours.

Wamarekani hawana sababu yoyote ya kutoa taarifa za uzushi.
We are always REACTIVE not PROACTIVE,

Unapewa info fanyia kazi sio kujifanya mjuaji
 
... ni njia tu ya kuficha aibu baada ya intelijensia ya nchi ya kigeni kujua yajayo ndani ya nchi yetu wakati vyombo vyetu vimelala fofofo! Hakuna lolote hao; CIA ndio imewaamsha usingizini wanajifanya kujua kabla!
Kama Sirro na wenzie walishajua mapema kwa nini hawakutoa alert yao mapema kwa jamii lengwa?...ni muhimu kuweka siasa pembeni kwenye vitu vya hatari
 
Acheni dharau, mumeonan Mhe Msukuma bungeni anatoa material nzuri mpaka Rais kafukuzwa waziri wa viwanda na CEO wa TRA kazi? Wenye shahada na PhD niwaoga kusema ukweli, wanalindana!! Hongera Mhe Mkukuma(Mhe Joseph Kasheku)!
wakolomije bana, utawajua tu!
 
Tutachukua tahadhari tu kuepusha shari !
Screenshot_2019-06-20-10-06-09-1.jpeg
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom