Shigganza
Senior Member
- May 24, 2018
- 160
- 412
Baada ya Tahadhari ya Usalama katika Jiji la Dar es Salaam katika maeneo ya Masaki na Msasani iliyotolewa na Ubalozini wa Marekani, Mkuu wa mkoa wa Dar amewahakikishia Wananchi kuwa hali ni shwari
RC Makonda amesema Jeshi la Polisi linaendelea na kazi kama kawaida kuhakikisha watu wanalala salama na walio kwenye mahoteli wasiwe na hofu ya tishio lolote lile
Aidha, ameomba watoa taarifa kuzigatia sheria, Kanuni na Katiba ya nchi kwani kuna vyombo maalumu vilivyopewa mamlaka ya kutangaza hali ya hatari
RC Makonda amesema Jeshi la Polisi linaendelea na kazi kama kawaida kuhakikisha watu wanalala salama na walio kwenye mahoteli wasiwe na hofu ya tishio lolote lile
Aidha, ameomba watoa taarifa kuzigatia sheria, Kanuni na Katiba ya nchi kwani kuna vyombo maalumu vilivyopewa mamlaka ya kutangaza hali ya hatari