RC Makonda: Idadi ya maambukizi imepungua Dar, kuna watu walinunua majeneza na kupiga picha ili kuzua taharuki

Zero yangu ya darasani naamini itafikili kizerozero kama hyu jamaaa siku moja!!Zero inatamba ndani ya majiji makubwa makubwa.

Dunia hadaa a kwamba watu waende makabulini kuchimba na majeneza tupu namimi zero mwenzake niamini labda kama sio mimi basi ninani?

Nani anataka niamini nin kimeongelewa nanani ili niemini zero???mimi sidanganyiki!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashauri tuendelee kihakikisha tunafuata ushauri wa wataalam wa afya ili kujikikinga na maamubukizi ya virusi vya Corona (akili za kuambiwa changanya na zako)
 
Yani hawa hawataki kusikia kuwa kuna corona, Mimi najiuliza mbona wanahaha hivyo? Kinachowafanya hawa watu wahangaike hivyo kutoa kauli za kishamba hivyo, hivi ni nini?

Kwa nini wanangaika kiasi hiki wanaenda wanakaaa wanafikiria Namna Ya kuja kudanganya watu sababu ni nini wakuuu?

Halafu kwa nini wanatumia kauli na mbinu za kitoto hivyo? Sasa si wanilipe tu hela niwafundishe mbinu za kudanganya? Hata Kama sijasoma Lakini siwez tumia mbinu hizo au wana laaana inawatafuna?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viongozi wataendelea kutukandamiza kuongea mashudu yoote sbb asilimia kubwa sie ni wajinga ndio maana hata kututawala ni rahisi sana watanzania.

Imagine the words that are coming out from Makonda's Mouth, i mean...for real?who do these leaders think they are seriously mbona wanatufanya punguani hivi, Watanzania tulimkosea Mungu nn lkn?
 
Poor gov. Kigogo anawashinda ndiyi mtaweza kuleta Tanzania ya Sukari? Au viwanda?
Point of correction;Mimi si mtu wa serikalini...,Simfuatilii hata huyo Kigogo....Huku nilipo hakuna shida ya sukari;ni 2,800/= per kg.
 
Asubiri aone dunia ikimpindukia nakuja kuwa raia wa kawaida ule uwaziri na maono ya P kumrithi Magu ataota kwenye ndoto. Hii ni Tanzania.
 
Watanzania walio wengi hawana uwezo wa kuchambua kauli yake ya kipumbavu, wataibeba kama ilivyo na kuanza ku share kwenye magrupu yao.

kush na Wisdom
Kwa Watanzania walalahoi kama mimi, ningeweza kuwaelewa na kuwasamehe.
Shida kubwa ipo kwenye media zetu kama azam/uhai, clouds, channel ten, Wasafi; magazeti na kadhalika. Huko ni msiba mkubwa sana. Wataubeba huo utopolo na kuupigia debe kweli kweli.

Tunaonekana wote ni wajinga tu.
 
Serikali ilikataza watu kuzikwa usiku ina maana hukusikia ? Kwa hiyo ni kweli kwamba watu walikuwa wanazikwa usiku na serikali ilikuwa inajua. Hizo habari za kwamba kigogo na mange ndio walikuwa wanapost wewe ndio unazisema.
OK sawa...halafu mbona hatuzioni sahivi?
 
Back
Top Bottom