Acha hiyo biashara mkuu!Tunaongozwa na watu wa ajabu sana kipindi hiki. Tulikosea mahali 2015.
Acha hiyo biashara mkuu!Tunaongozwa na watu wa ajabu sana kipindi hiki. Tulikosea mahali 2015.
Mkuu, kwenye uzi wa makonda.Wakuu Laptop yangu imemwagikiwa maji kwenye keybord, hivyo haidisplay chochote kwenye screen.
Fundi anasema motherboard ndio imepata electric short.
Je, Inaweza Kupona Kweli Wakuu ?
Usiogope kuhusu magu yanakuja mengi na ya kufedhehesha utamwonea huruma. Jitahidi kumweleza abadilike kiongozi wa nchi hapaswi kuwa hivyo ni mbaya sana.Acha hiyo biashara mkuu!
Kama hawatusaidii mbona kila siku serikali ya magufuli inaenda kuomba misaada kwao?Vijana waache kuzusha habari mbaya za uongo
Mabeberu hawatawasaidia
Cc YEHODAYA Bia yetuHahahaa.. Wale wa buku 7 per day mpo wapi mkazie mambo yenu
mabeberu hayo hayatutakii mema kabisa yani mabeberu yamenunua majeneza kabisa
Nielekezeni namna ya kubadili uraia Aseeee
Kwan mnashindwa?
Wanasiasa ni mashetani!Hii nchi ngumu sana. Kweli watu wanunue majeneza kabisa kwa ajili ya kuigiza kuzika?
Kwani mmeacha kuwabambikia watu kesi za uongo?Mwenzako amekamatwa na madawa huko Mbeya nakushauri uache hiyo biashara!