ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Upatapo ujumbe huu hebu siku moja tembelea vituo vya usafiri vya mwendokasi na wananchi tunaomba ziara hiyo iwe shitukizi, uje ujionee wasafiri tunavyopangwa foleni ndefu huku tukisubiri gari hadi saa nzima wakati mwingine ili hali hapo kituoni kuna gari nyingi mno zimepark! Gari zinazofanya Safari ni chache mno abiria tupo wengi na tumeshalipia nauli.
Jaribu uzungukie japo vituo vyote vikubwa na ikibidi usikilize comments zetu abiria na tungependa maoni yetu yasipuuzwe bali yafanyiwe kazi na serikali . Sijui tatizo lipo wapi? Madereva? Gari au usimamizi?
Jaribu uzungukie japo vituo vyote vikubwa na ikibidi usikilize comments zetu abiria na tungependa maoni yetu yasipuuzwe bali yafanyiwe kazi na serikali . Sijui tatizo lipo wapi? Madereva? Gari au usimamizi?