Sauti ya Rondo
Senior Member
- Aug 1, 2009
- 127
- 226
Siku zote Makonda ameeleza kwenye vituo vya Redio na TV kuwa yeye ni mtoto wa masikini na hata wazazi wake ni masikini ila hakukubali umasikini huo ufifishe ndoto yake na ndiyo maana anafanya kazi kwa bidii na kujituma huku akiwapigania wanyonge na masikini.
Katika muda mfupi wa utumishi wake wa umma tumeshuhudia akisimamia ujenzi wa ward tatu za kisasa kwa ajili ya akina mama, ICU ya kisasa, Ujenzi wa barabara, Hakuishia hapo tu mpaka kwenye elimu hata sina sababu ya kuelezea kwanini Makonda anakwenda kila kona.
Ila la msingi hapa aliweka jitihada. Huu ni wakati wa kuitazama picha hiyo inayosambazwa na wabaya wake kupotosha agenda zake mbalimbali za kuboresha maisha ya wana DSM kama picha ya kumtia moyo yeye na kuwatia moyo watoto wote wa masikini na wanyonge wasikate tamaa kwani siku moja ndoto zao zitatimia.
Ila lazima wawajibike na kuweka bidii kama Makonda na zaidi ya hapo.
Katika muda mfupi wa utumishi wake wa umma tumeshuhudia akisimamia ujenzi wa ward tatu za kisasa kwa ajili ya akina mama, ICU ya kisasa, Ujenzi wa barabara, Hakuishia hapo tu mpaka kwenye elimu hata sina sababu ya kuelezea kwanini Makonda anakwenda kila kona.
Ila la msingi hapa aliweka jitihada. Huu ni wakati wa kuitazama picha hiyo inayosambazwa na wabaya wake kupotosha agenda zake mbalimbali za kuboresha maisha ya wana DSM kama picha ya kumtia moyo yeye na kuwatia moyo watoto wote wa masikini na wanyonge wasikate tamaa kwani siku moja ndoto zao zitatimia.
Ila lazima wawajibike na kuweka bidii kama Makonda na zaidi ya hapo.