Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,753
People used to dieee in the raaake(lake)ni naibu rais,
"Watch out, not to that extent"
People used to dieee in the raaake(lake)ni naibu rais,
"Watch out, not to that extent"
Da huyu jamaa yeye mzalishaji,naTRA vipi au hawatakata Kodi ngoja tuoneHuyu mkuu wa mkoa kweli ni Naibu Rais kila sehemu yupo naona sasa hivi kawaovertake Shonza na Mwakyembe.
Alisema atapita kwenye mabar kuwapima wanaume Ukimwi na Tezi Dume, vipi ulipimwa?
Kuna mambo anafanya ya ajabu sanaKama angekuwa na uwezo huo makontena yake yangedakwa ?
Hii sijaielewa mkuu. Kwani vinywaji vya dar anamiliki yeye. Wenue vinywaji watalazimishwa kushusha bei?Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ameahidi Kama taifa stars itamfunga Uganda jumapili Basi Bei ya vinywaji vyoye jijini vitashushwa kwa masaa 6 ili watu washerekee.
Hi ni habari njema kwa wazee wa Gambe
View attachment 1050521
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mkuu wa mkoa kweli ni Naibu Rais kila sehemu yupo naona sasa hivi kawaovertake Shonza na Mwakyembe.
Na hiyo bei punguzo ataifidia yeye?Kama yeye ndie mmiliki wa bar zote hapa dar
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ameahidi Kama taifa stars itamfunga Uganda jumapili Basi Bei ya vinywaji vyoye jijini vitashushwa kwa masaa 6 ili watu washerekee.
Hi ni habari njema kwa wazee wa Gambe
View attachment 1050521
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwache bwana siku hz yupo na wazee wa fashoon suti begaJuliana Shonza yupo busy JF anahangaika kutunga propaganda za maji taka wakati huo Bashite anamfanyie wajibu wake.
Mimi naiombea Lesotho washinde ili mbaki hapa hapa.Naiombea Taifa Stars ishinde ili nijionee haya maajabu
Mkuu hizi Bia zangu pendwa bado zipo hapa Dar,maana nakunywaga nikiwa Kigoma tuunina container zangu mbili za stela artols,zimeisha mda wake ngoja nichangamkie fursa niziingize sokoni siku hiyo