brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
- Thread starter
- #101
Watu wengine sijui hawaonagi hata Aibu! Hivi Mali au Biashara ya mtu unawezaje kuitamkia maanuzi kama wewe ndiye mmiliki!?
Huyu mkuu wa mkoa kweli ni Naibu Rais kila sehemu yupo naona sasa hivi kawaovertake Shonza na Mwakyembe.
Acha wao wanywe pombe za bwerereWacha wageni watungu wasubiri ahadi hewa. Mango kanunua mzigo umwambie apunguze being?. Ataingia tumboni kwa mtuna viatu.
Kweni Taifa stars ni ya watu wa Dar mpaka wapunguziwe bei wao tuFursa adhimu, ngoja cc wa mwalusembe tujongee dar maana inapendeza sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo nauli si unalewa huko huko, wanaume wa dar bhana.... Kitonga.Nakuja Dar Jumapili ninywe juice kwa bei ya punguzo.
Hivi kwa nn wanaume wa dar mbona mwapenda sana kitonga?Hii ni maalumu kwa wanaume wa Dar es Salaam, wavulana wa mikoani mtaendelea kunywa vinywaji vyenu kwa bei ya kawaida. Hii ndiyo tofauti ya DAR na mikoani.
Bar yake iko wapi na yaitwaje ?Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ameahidi Kama taifa stars itamfunga Uganda jumapili Basi Bei ya vinywaji vyoye jijini vitashushwa kwa masaa 6 ili watu washerekee.
Hi ni habari njema kwa wazee wa Gambe
View attachment 1050521
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama angekuwa na uwezo huo makontena yake yangedakwa ?Angefuta VAT kwa mwezi mmoja kama kweli
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Acha uongo wewe ndiyo lunaticHakuna kampeni au tamko hata moja alilotamka likatekelezeka! Hakuna alichokisimamia kikafanyika na kufanikiwa..
He is a lunatic