RC Makonda: Bei ya vinywaji itashushwa kwa masaa 6 Dar kama Taifa Stars itaishinda Uganda

brave one

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
4,876
7,366
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ameahidi Kama taifa stars itamfunga Uganda jumapili Basi Bei ya vinywaji vyoye jijini vitashushwa kwa masaa 6 ili watu washerekee.

Hi ni habari njema kwa wazee wa Gambe

Screenshot_20190321-153028~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ameahidi Kama taifa stars itamfunga Uganda jumapili Basi Bei ya vinywaji vyoye jijini vitashushwa kwa masaa 6 ili watu washerekee.

Hi ni habari njema kwa wazee wa Gambe

View attachment 1050521

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh.
Hivi inawezekana eeh. Kushusha bei ya vinywaji!
Hii hatari sana kama kiongozi ndio anasema hivi. Ni matumaini yangu hajasema huu upuuzi yeye.
 
mtajiuliza maswali sana ila he owns the city ni ukweli usiopingika ana influence , akitoka raisi yuko powerfull sana nguvu nyingi imetumika kumwangusha ila woii hata hajatingishwa kucha ....sema sijui pesa anatolea wapi maana ukionganisha maneno yake duuuu utadhani mo *2

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili tangazo lingempendeza zaidi Konk likwid anyway Raisi wa mkoa asha-intervene na hili.
Bila kusahau aseme anaahirisha kusumbua wanaume na tezi dume zao. ....hapo Taifa stars itacheza mpaka na mashabiki wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
bia zingeuzwa buku-buku hapo uwanjani, kama vipi walete hata ule mzigo wa bia unaokaribia ku-expire.
 
Back
Top Bottom