Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Kigamboni muda huu, katika makabidhiano ya eneo ambalo Mkuu wa mkoa Dar aliahidi kuwapa Yanga SC.
Ahadi imetekelezeka, tayari viongozi wa Yanga SC wanalipigia mahesabu makali eneo hilo kuliendeleza katika shughuli za ujenzi uwanja na miundo mbinu mingine!
Ahadi imetekelezeka, tayari viongozi wa Yanga SC wanalipigia mahesabu makali eneo hilo kuliendeleza katika shughuli za ujenzi uwanja na miundo mbinu mingine!