mwanasiasahalisi
Member
- Feb 22, 2017
- 6
- 16
Nasikia leo team ya Clouds FM kama ilivyo kawaida yao ya kwenda ofisi za Wakuu wa Mikoa kukaribisha Msimu wao wa Tigo Fiesta so baada ya kufika kwa Makonda wakakuta waandishi wengine wanasubiri Press yake ambayo aliita kuwafahamisha uwepo wa Meli kubwa inayotegemea kuja siku zijazo kwa ajili ya kuleta Madokta toka China.
Baada ya Press kuisha vijana wa Mjengoni ‘Clouds’ wamemfata Makonda kumrekodi Jamaa kawachomolea mbele ya waandishi wengine wa habari kwa kusema hawezi kurekodi hana huo muda.!! Naona sasa mambo yamefika patamu.
Baada ya Press kuisha vijana wa Mjengoni ‘Clouds’ wamemfata Makonda kumrekodi Jamaa kawachomolea mbele ya waandishi wengine wa habari kwa kusema hawezi kurekodi hana huo muda.!! Naona sasa mambo yamefika patamu.