johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,820
- 141,721
Leo zoezi la uboreshaji wa daftari la wapiga kura linaanza jijini Dsm.
Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda yuko live Clouds tv akielezea jambo hilo pamoja na mambo mengine mbalimbali ya kimaendeleo katika mkoa wa Dsm na taifa kwa ujumla.
Karibu.
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda yuko live Clouds tv akielezea jambo hilo pamoja na mambo mengine mbalimbali ya kimaendeleo katika mkoa wa Dsm na taifa kwa ujumla.
Karibu.
Maendeleo hayana vyama!