RC Makonda atembelewa na wawekezaji kutoka China, viwanda 200 kujengwa

$ bilion 3
= madafu 7000,000,000,000 /=
= viwanda 200
=kila kimoja ni almost 3500000000 kwa kila kiwanda 1
 
Mrangi from Gairo; ongea na ndugu zako hapo Gairo waache kuuza madini feki aisee.
Hahaha mkuu ushapigwa nn vp ulingia mkenge Kwa kina kawawa huku is sahv hawana tena style hzo washashtukiwa labda Mgeni Ukiwa

Ova
 
Donatila Kwani DAB siku hizi amekuwa Waziri mkuu wa nchi hii?mbona kama sielewi hivi.

Wawekezaji kutoka nje ya nchi kwenda kumtembelea RC huku wakiahidi miradi mikubwa mikubwa kwa nchi kwani amekuwa nani?
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Paul Makonda Alhamisi hii amekutana na ugeni wa wawekezaji kutoka China kujadilia na kuhusu mambo ya uwekezaji ambapo zaidi ya viwanda 200 vinatarajiwa kujengwa. RC Makonda akiwa na wawekezaji hao.

Akingumza jijini Dar es Salaam leo, RC Makonda amesema miongoni mwa lengo kuu la kutembelewa na ugeni huo ni kuhakikisha mkoa wa Dar es salaam unakuwa kuwa na uwekezaji mkubwa katika kuelekea Tanzania ya viwanda.

Wawekezaji hawa wanakwenda kuwekeza Tanga na kunduchi Dar es Salaam na Wana wekeza miradi yenye thamani ya Dola bilioni 3. Aidha amewataka wanachi wa mkoa huo kuchangamkia fursa za uwekezaji. “Sisi kazi yetu kama serikali ni kuweka mazingira ya uwekezaji na hawandugu zetu wametoka jimbo la nilizungumza nao nilipotembelea huko kwao mwakajana”Amesema Makonda.

“Naamini kwamba Rais Magufuli na RC MAKONDA watatupa kipaumbele Katika uwekezaji wetu kutokana na uhusiano mzuri uliopo naona ya nchi zetu hizi mbili”.Amesema Xiezengyi Wachina hao wanatarajia kuwekeza Katika Mkoa wa Tanga na kuungamisha biashara zao na viwanda Kiwanda cha kunduchi ili mkoa wa Dar es salaam uweze kunufaika na uwekezaji huo wenye thamani ya dola za kimarekani Bilion Tatu.

Pamoja na hayo Makonda ameeleza kuwa Kuna clip ina zungunguka mtandaoni ikieleza kuwa Ethiopia kuwa Wana kiwanda kikubwa zaidi kuliko nchi zote barani Afrika na kusema kuwa wananchi wasihofu kwani Dar es Salaam itajenga kiwanda kikubwa zaidi ya mara tatu ya hicho chenye Siguare mita Milion Tano na uwekezaji huu utafanyika wilayani Kigamboni. “Kuna mwekezaji mwingine ameonyesha nia ya kuwekeza kiwanda cha sukari Nawaomba wafanyabiashara wetu mchangamkie fursa hizo za kibiashara na vijana pia mchangamkie fursa za ajira” Amesema Makonda.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa jimbo la Gwangzou , Xie zhenghy kutoka China amesema wao wako tayari kwa uwekezaji na katika nchi ambazo zitaendana kiutamaduni kama ilivyo kwa Tanzania. Hata hivyo amesema kuwa China imekuwa na nafasi kubwa ya kuwekeza barani Afrika amekuwa na uwekezaji mkubwa nchini Misri.

NILIKWENDA CHINA KUTAFUTA WAWEKEZAJI: PAUL MAKONDA via YouTube
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Paul Makonda Alhamisi hii amekutana na ugeni wa wawekezaji kutoka China kujadilia na kuhusu mambo ya uwekezaji ambapo zaidi ya viwanda 200 vinatarajiwa kujengwa. RC Makonda akiwa na wawekezaji hao.

Akingumza jijini Dar es Salaam leo, RC Makonda amesema miongoni mwa lengo kuu la kutembelewa na ugeni huo ni kuhakikisha mkoa wa Dar es salaam unakuwa kuwa na uwekezaji mkubwa katika kuelekea Tanzania ya viwanda.

Wawekezaji hawa wanakwenda kuwekeza Tanga na kunduchi Dar es Salaam na Wana wekeza miradi yenye thamani ya Dola bilioni 3. Aidha amewataka wanachi wa mkoa huo kuchangamkia fursa za uwekezaji. “Sisi kazi yetu kama serikali ni kuweka mazingira ya uwekezaji na hawandugu zetu wametoka jimbo la nilizungumza nao nilipotembelea huko kwao mwakajana”Amesema Makonda.

“Naamini kwamba Rais Magufuli na RC MAKONDA watatupa kipaumbele Katika uwekezaji wetu kutokana na uhusiano mzuri uliopo naona ya nchi zetu hizi mbili”.Amesema Xiezengyi Wachina hao wanatarajia kuwekeza Katika Mkoa wa Tanga na kuungamisha biashara zao na viwanda Kiwanda cha kunduchi ili mkoa wa Dar es salaam uweze kunufaika na uwekezaji huo wenye thamani ya dola za kimarekani Bilion Tatu.

Pamoja na hayo Makonda ameeleza kuwa Kuna clip ina zungunguka mtandaoni ikieleza kuwa Ethiopia kuwa Wana kiwanda kikubwa zaidi kuliko nchi zote barani Afrika na kusema kuwa wananchi wasihofu kwani Dar es Salaam itajenga kiwanda kikubwa zaidi ya mara tatu ya hicho chenye Siguare mita Milion Tano na uwekezaji huu utafanyika wilayani Kigamboni. “Kuna mwekezaji mwingine ameonyesha nia ya kuwekeza kiwanda cha sukari Nawaomba wafanyabiashara wetu mchangamkie fursa hizo za kibiashara na vijana pia mchangamkie fursa za ajira” Amesema Makonda.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa jimbo la Gwangzou , Xie zhenghy kutoka China amesema wao wako tayari kwa uwekezaji na katika nchi ambazo zitaendana kiutamaduni kama ilivyo kwa Tanzania. Hata hivyo amesema kuwa China imekuwa na nafasi kubwa ya kuwekeza barani Afrika ambapo imekuwa na uwekezaji mkubwa nchini Misri.
Nashauri,tuweke sera ya viwanda inayoeleweka kwanza. Tusipofanya hivyo,kila anayejisikia apokee tuu wawekezaji kama sifa,tutagota mahali. Tutajikuta hata mishumaa ya kopo wanayotengeneza wamachinga,Wachina ndo wanashobokea!
 
Mtu yeyote anaweza chochea sera ta viwanda hata wewe ndugu.
Ni vyema tuwe na utaratibu,tusishindane kusomba wachina kwa sifa ilihali vijana wetu wako majumbani na wans elimu ya kutosha. Hii kitu sijaipenda sana. Wachina siyo watu wa kuzoea sana. Watueleze vizuri ni watz wangapi wataajiriwa ktk hivyo viwanda vyao,na ktk level gani?
 
gemmanuel265 Mkuu serikali hauebdeshwi kama kampuni,kuna milolongo mingi ambayo inafanyika bila wewe kujua. Wewe unakuja kujua katika hatua ya utekelezaji.

Huwa kuna kamati nyingi zinaundwa,kwa mfano timu ya mazungumzo ya majadiliano ya serikali, tume ya makatibu wakuu, tume ya wataalamu,ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali,baraza la mawaziri,wizara ya uhusiano wa kimataifa na kadhalika na kadhali,hivyo sio swala la kutangazwa leo kesho utekelezaji unaanza.
 
Haya ila alipotea magazetini
Hakuwepo alienda kututafutia wawekezaji si mmeanza kuona matunda ya ziara zake akipiga kama kumi za manufaa kama hizo tutakuwa mbali.Zitasaidia ajira.Kwa hayo ni haki kupongezwa.
 
Ngoma mbili ki WONDER itapendeza!

Huyu
455e5ceb55b599203b9cd6538cc06147.jpg
huyu hakuna kitu asichoweza kukiangalia bila kujaribu...ispokuwa
Alishindwa kujaribu ile kitu ile siku ya kusajili.
b95dbf02ca5be4ccca9a5fc0119c9caf.jpg
5dbbcac2ba35a93955a392b004c5482d.jpg
2d0e0d887e5b97bc1cf267973a04a3ba.jpg
cdb4e316415f0aebe9550862ebeccb03.jpg
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Paul Makonda Alhamisi hii amekutana na ugeni wa wawekezaji kutoka China kujadilia na kuhusu mambo ya uwekezaji ambapo zaidi ya viwanda 200 vinatarajiwa kujengwa. RC Makonda akiwa na wawekezaji hao.

Akingumza jijini Dar es Salaam leo, RC Makonda amesema miongoni mwa lengo kuu la kutembelewa na ugeni huo ni kuhakikisha mkoa wa Dar es salaam unakuwa kuwa na uwekezaji mkubwa katika kuelekea Tanzania ya viwanda.

Wawekezaji hawa wanakwenda kuwekeza Tanga na kunduchi Dar es Salaam na Wana wekeza miradi yenye thamani ya Dola bilioni 3. Aidha amewataka wanachi wa mkoa huo kuchangamkia fursa za uwekezaji. “Sisi kazi yetu kama serikali ni kuweka mazingira ya uwekezaji na hawandugu zetu wametoka jimbo la nilizungumza nao nilipotembelea huko kwao mwakajana”Amesema Makonda.

“Naamini kwamba Rais Magufuli na RC MAKONDA watatupa kipaumbele Katika uwekezaji wetu kutokana na uhusiano mzuri uliopo naona ya nchi zetu hizi mbili”.Amesema Xiezengyi Wachina hao wanatarajia kuwekeza Katika Mkoa wa Tanga na kuungamisha biashara zao na viwanda Kiwanda cha kunduchi ili mkoa wa Dar es salaam uweze kunufaika na uwekezaji huo wenye thamani ya dola za kimarekani Bilion Tatu.

Pamoja na hayo Makonda ameeleza kuwa Kuna clip ina zungunguka mtandaoni ikieleza kuwa Ethiopia kuwa Wana kiwanda kikubwa zaidi kuliko nchi zote barani Afrika na kusema kuwa wananchi wasihofu kwani Dar es Salaam itajenga kiwanda kikubwa zaidi ya mara tatu ya hicho chenye Siguare mita Milion Tano na uwekezaji huu utafanyika wilayani Kigamboni. “Kuna mwekezaji mwingine ameonyesha nia ya kuwekeza kiwanda cha sukari Nawaomba wafanyabiashara wetu mchangamkie fursa hizo za kibiashara na vijana pia mchangamkie fursa za ajira” Amesema Makonda.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa jimbo la Gwangzou , Xie zhenghy kutoka China amesema wao wako tayari kwa uwekezaji na katika nchi ambazo zitaendana kiutamaduni kama ilivyo kwa Tanzania. Hata hivyo amesema kuwa China imekuwa na nafasi kubwa ya kuwekeza barani Afrika ambapo imekuwa na uwekezaji mkubwa nchini Misri.
Tunawakaribisha sana hao wewekezaji, lakini isije ikawa wanakuja na vyerehani 800. Maana hivi pia vinaweza kumaanisha vianda 200. Na kile kiwanda kikubwa kinachojengwa kigamboni tunakikaribisha sana. Ila kuwe na mikakati kabambe kisije geuzwa kuwa go-down na sehemu ya kutunzia mbuzi.
 
Viwanda kjenga Siyo sawa na kula biskuti ohoo

Mrangi from gairo

Ova
 
Back
Top Bottom