RC Makonda aongoza mkutano wa wachezaji wa Taifa stars na wadau wa michezo Cairo, awapa salam za Rais Magufuli

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,754
139,558
Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amekutana na wachezaji wa Taifa stars na wadau wa michezo walioambatana na timu nchini Misri.

RC Makonda amewapa salamu kutoka kwa Rais Magufuli na kuwaahidi kuwa taifa zima liko pamoja nao. Kadhalika amewataka watanzania kuwa na mawazo chanya juu ya timu yetu ya taifa.

Viongozi mbali mbali wa wizara ya michezo na serikali kwa ujumla wapo Cairo kuhakikisha Kenya anapata kipigo cha mbwa koko.

Source TBC habari
Maendeleo hayana vyama!!
 
Wawavutie kwenye ile 1.5t waliyotupiga, huenda timu ikashinda. Ni vile tu nguvu ya jeshi letu mwisho ni Chato, vinginevyo wangepelekwa hiyo timu ishinde kwa figisu ili awamu ya tano ipate sifa. Wakenya funga hao ccm
 
Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amekutana na wachezaji wa Taifa stars na wadau wa michezo walioambatana na timu nchini Misri.

RC Makonda amewapa salamu kutoka kwa Rais Magufuli na kuwaahidi kuwa taifa zima liko pamoja nao. Kadhalika amewataka watanzania kuwa na mawazo chanya juu ya timu yetu ya taifa.

Viongozi mbali mbali wa wizara ya michezo na serikali kwa ujumla wapo Cairo kuhakikisha Kenya anapata kipigo cha mbwa koko.

Source TBC habari
Maendeleo hayana vyama!!
kila la kheri jirani zetu Kenya.... Watz tupo nyuma yenu!
 
Wawavutie kwenye ile 1.5t waliyotupiga, huenda timu ikashinda. Ni vile tu nguvu ya jeshi letu mwisho ni Chato, vinginevyo wangepelekwa hiyo timu ishinde kwa figisu ili awamu ya tano ipate sifa. Wakenya funga hao ccm
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom