balimar
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 7,561
- 13,274
Lakini usije kukuta ule ni mpango mkakati kuwe na kama kauhasama fulani ili timu yao ya taifa isione huruma kutuchapanga kwa kigezo cha ujirani au pia kuwaongezea morale wachezaji wao kutudhihirishia we're non.the clock is ticking, Victor Wanyama will teach us a lesson.
Go! Kenya Go! kenya 1 - 0 tanzania
Fursa hii hii itumiwe na stars kuonesha Kenya hamna kitu.
Sasa hapa kwetu tumeshaanza kulumbana hasa baada ya kwenda kaimu rahisi hapo ndio kazi aiseh.
Maendeleo hayana timu