Nina kila sababu ya kuishangilia stars. Tukipigwa nitashangilia, tukipiga nitashangilia zaidi.
Mpaka uwe na nida uipate je Cairo kipo kitambulisho?Akiwaahidi kuwapa line ya tigo wanaweza kupata suluhu.
Fikira Kama hizi ni za watu wenye upeo wa kimaskini wa kutupwa na wivuNow ndo kenya watatumaliza kabisa
Kwa team ile hatufiki popote. Kaenda kuwapa gundu tu. Millioni kumi kumi zao kawakabidhi leo?
Hilo jina inaonekana linakupa shida sana,kama shetani anavyopata shida akisikia jina Yesu.Kwani Mbowe kaenda?!
Wewe ni MTANZANIA kweli? KAMA NDIO TUNA WATU WA AJABU MIONGONI MWETU. TUTASONGA MBELE TU TARATIBUkila la kheri jirani zetu Kenya.... Watz tupo nyuma yenu!
Ushindi wa Taifa Star leo utakuwa ushindi mkubwa kwa Paul Makonda kisiasaMkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amekutana na wachezaji wa Taifa stars na wadau wa michezo walioambatana na timu nchini Misri.
RC Makonda amewapa salamu kutoka kwa Rais Magufuli na kuwaahidi kuwa taifa zima liko pamoja nao. Kadhalika amewataka watanzania kuwa na mawazo chanya juu ya timu yetu ya taifa.
Viongozi mbali mbali wa wizara ya michezo na serikali kwa ujumla wapo Cairo kuhakikisha Kenya anapata kipigo cha mbwa koko.
Source TBC habari
Maendeleo hayana vyama!!
mimi ni Mtanzania halisi ninayechukizwa na kitendo cha wahalifu kushika madaraka makubwa nchini mwangu.Wewe ni MTANZANIA kweli? KAMA NDIO TUNA WATU WA AJABU MIONGONI MWETU. TUTASONGA MBELE TU TARATIBU
Kinyume chake je ?Ushindi wa Taifa Star leo utakuwa ushindi mkubwa kwa Paul Makonda kisiasa
Amen na tuwachape haswa....God bless Taifa stars.Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amekutana na wachezaji wa Taifa stars na wadau wa michezo walioambatana na timu nchini Misri.
RC Makonda amewapa salamu kutoka kwa Rais Magufuli na kuwaahidi kuwa taifa zima liko pamoja nao. Kadhalika amewataka watanzania kuwa na mawazo chanya juu ya timu yetu ya taifa.
Viongozi mbali mbali wa wizara ya michezo na serikali kwa ujumla wapo Cairo kuhakikisha Kenya anapata kipigo cha mbwa koko.
Source TBC habari
Maendeleo hayana vyama!!
😂😂😂😂😂Safi sana makonda mkomeshe yule mshamba wa kongwa
Huyo ameenda kutafuta sifa tu kwa kuwa kesho tunawafunga Wakenya. Kufungwa kwa Wakenya hakutatokana na sababu ya yeye kwenda huko bali ni juhudi za wachezaji. Lakini ataubeba ushindi mabegani kwake kama yeye ndio chachu ya ushindi. Hata kama asingeenda, kesho Kenya wanapigwa 2 NIL
Mara paap stars inashinda
Loooh
Kila laheri Star's! Viva Tanzania 🇹🇿 🇹🇿🇹🇿🇹🇿! Muhimu Stars ishinde hayo mengine yatafuata baadae.Go go Taifa Star. Kesho ushindi ni wetu. Tutashinda bao moja kwa zero.