Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,782
Kama upuuzi wa kiwango cha kusikitisha ni wa Makonda jioni ya leo akiwa kwenye kitu kinachoitwa ziara ya kusikiliza kero za wananchi.
Nikiwa niko Jof pub njia ya Ubungo Maziwa nilishuhudia msafara wa magari yasiyopungua 35 yakiwemo ya jeshi la polisi trafiki na FFU yote yakiwa full loaded.
Gari nyingine zote hazikupungua watu wane! Hakukuwa na gari ndogo hata moja VX V8 zilikuwa tano! Shangilieni huu upuuzi lakini mjue hiki kiama ni chetu sote....
Nikiwa niko Jof pub njia ya Ubungo Maziwa nilishuhudia msafara wa magari yasiyopungua 35 yakiwemo ya jeshi la polisi trafiki na FFU yote yakiwa full loaded.
Gari nyingine zote hazikupungua watu wane! Hakukuwa na gari ndogo hata moja VX V8 zilikuwa tano! Shangilieni huu upuuzi lakini mjue hiki kiama ni chetu sote....