shibekijijini
JF-Expert Member
- May 26, 2015
- 358
- 478
Tutawazuia, usiwazeNajiuliza hivi wakuu wa mikoa kama 20 wakiamua kufanya huu ujinga, hii nchi si itakuwa vurugu tupu.
Tutawazuia, usiwazeNajiuliza hivi wakuu wa mikoa kama 20 wakiamua kufanya huu ujinga, hii nchi si itakuwa vurugu tupu.
Amepewa supportKama kama upuuzi wa kiwango cha kusikitisha ni wa makonda jioni ya leo akiwa kwenye kitu kinachoitwa ziara ya kusikiliza kero za wananchi
Nikiwa niko Jof pub njia ya ubungo maziwa nilishuhudia msafara wa magari yasiyopungua 35 yakiwemo ya jeshi la polisi trafiki na ffu yote yakiwa full loaded.
Gari nyingine zote hazikupungua watu wane!hakukuwa na gari ndogo hata moja VX V8 zilikuwa tano! Shangilieni huu upuuzi lakini mjue hiki kiama ni chetu sote....
ww ndo demu...mana hutaki kuelewa,ijapokua wenzako wote wameelewaNini mnaongelea humu? Heading haieleweki, content ndio nonsense kabisa, senseless rubbish! Tuache kulalamika kama wanawake
Husichoelewa ni nn haswa ?Nini mnaongelea humu? Heading haieleweki, content ndio nonsense kabisa, senseless rubbish! Tuache kulalamika kama wanawake
Wanawake ni pamoja na mama yako. Kwa tafsiri yako, maneno uliyoandika siyo hoja, ni ya kulalamika lalamika. Hivyo wewe ni mwanamke.Nini mnaongelea humu? Heading haieleweki, content ndio nonsense kabisa, senseless rubbish! Tuache kulalamika kama wanawake
CCM niliwapa wazo LA kukodi mabasi aina ya Eicher ili kubana matumizi wamegoma. Halafu wanaendelea kuwadanganya Watanzania kuwa wanabana matumizi.Kama kama upuuzi wa kiwango cha kusikitisha ni wa makonda jioni ya leo akiwa kwenye kitu kinachoitwa ziara ya kusikiliza kero za wananchi
Nikiwa niko Jof pub njia ya ubungo maziwa nilishuhudia msafara wa magari yasiyopungua 35 yakiwemo ya jeshi la polisi trafiki na ffu yote yakiwa full loaded.
Gari nyingine zote hazikupungua watu wane!hakukuwa na gari ndogo hata moja VX V8 zilikuwa tano! Shangilieni huu upuuzi lakini mjue hiki kiama ni chetu sote....
Next time I will zip myHukupaswa kumjibu chochote
AsanteWanawake ni pamoja na mama yako. Kwa tafsiri yako, maneno uliyoandika siyo hoja, ni ya kulalamika lalamika. Hivyo wewe ni mwanamke.