Nchi hii siasa hadi vitandani. Usishangae akasema naye kafunga, na ni muislamu. Mbona kwaresma sikusikia haya mambo?!Hivi utaandaeje futari wakati wewe mwenywe hijafunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi hii siasa hadi vitandani. Usishangae akasema naye kafunga, na ni muislamu. Mbona kwaresma sikusikia haya mambo?!Hivi utaandaeje futari wakati wewe mwenywe hijafunga
Hivyo kusoma sio ibada?Jambo lolote la Kiislaam, lililo amrishwa kufanywa kisheria (au kwa fatwa) kwa ajili ya kuabudu (ibada) au kujipendekeza kwa Mwenyezi Mungu.
Haya ndio majibu ya kisomi
Pumbafu sana weweTatizo ni quality ya wanafunzi sio ajira..Sio ajabu kukutana na wanafunzi wa vyuo hivyo wanaoandika sijuhi, mahana, halama, n.k
Mimi nimeuliza swali tu, sijakejeli dini yoyote ile. Ni vema kama hiyo aya ipo nikaambiwa na kama haipo pia nikaambiwa haipo.Ni jambo la busara kama tutakuwa tuna focus kwa suala la kufuturisha badala ya kukejeli dini,kwani dini zote zipo kwa maana na lengo kuu moja ni amani
Kama hakuna aya inayoruhusu wala aya inayokataza, basi lolote litakalofanyika ni sawa tu na wala hakuna dhambi yoyote. Dhambi hutokea pale kitabu kitukufu kinapokiukwa.....ungeanza na 'aya' inahomruhusu !
Kufuturu ni 'Ibada', sasa ibada ikiendeshwa na Makonda inakuwaje !?
Hiyo ni 'fatwa' ya Sheikh gani !? Uislaam haufuati maoniKama hakuna aya inayoruhusu wala aya inayokataza, basi lolote litakalofanyika ni sawa tu na wala hakuna dhambi yoyote. Dhambi hutokea pale kitabu kitukufu kinapokiukwa.