tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,671
- 19,186
Patel wanaishi mwanza na ndio kampuni ilikoKwani hii Nyanza ni ya nani ? Naona ilipata miradi mingi sana hapa Dar.
Patel wanaishi mwanza na ndio kampuni ilikoKwani hii Nyanza ni ya nani ? Naona ilipata miradi mingi sana hapa Dar.
Sio kampuni ya rostamRostam azizi... Alafu anazo kampun nyingi
Nyanza road iko kabla jiwe hajui kama kuna mji unaitwa mwanza,iko since 1980 mali na ndgu wanne patelsBaba mkubwa ni ni patner kwenye kampuni
Wahindi ila ofisi zao ziko Mwanza. Ni wababaishaji toka siku nyingi tuNyanza? Wasukuma??
I dnt know,sema kuna mahali wanashuka watu wengi sana pale Mwanagati kati toka Tandika-Buza wanaendelea kwenda ndani zaidi ukiangalia mbele unaisoma mbagala pale.Via kwa mpalange unaizungumzia hiyo bila Shaka mkuu
Mkuu tajiri mwenye kampuni nadhani alifariki Sasa Hawa waliobaki naona linawashinda, pia mzee aliajiri taliano Fulani ndio waliokuwa wanapiga kazi, Sasa sijui walishaondokaHawa Nyanza walifanya kazi nzuri Sana pale Dodoma wakajenga jina, baada ya hapo miradi mingine yote hovyo! Mfano barabara ya Bunda-Kisorya imewashinda kabisa!
Mkandarasi asipotoa kidogo kwa wakubwa ataisoma namba.Hapo Nyanza hawakumpa 10% Makonda
Kabla hujatukana una uzoefu na sekta ya ujenzi hasa miradi ya wakandarasi? Una uhakika gani kuchelewa kwake ni kutokana na kulewa kwa malipo? Atafanyaje kazi na hela halipwi kwa wakati?Safi sana wapuuzi kabisa hawa. Tunateseka sana tunaotokea njia hiyo kwa uzembe wa hawa wapuuzi na wapumbavu kabisa hawa
Makonda amepitia Public Procurement Act? Akajua taratibu za blacklisting a coy?Tuone kama kweli haitapewa miradi tena.
Labda awe ametoka baada ya kuwa mkubwa wa nchiPatel ndo MD. Sidhani kama Magufuli yumo kwenye hii campuni. Makonda asingewapiga mkwara.
Au hongo imegomekaMkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda amewapiga marufuku Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) kuipa mradi wowote Kampuni ya Ujenzi ya Nyanza ndani ya mkoa wa Dar
RC Makonda ametoa maagizo hayo baada ya Kampuni hiyo kutumia miezi 12 kujenga Barabara ya Kilometa 3.2 ya Kitunda-Kivule ya kiwango cha lami
Hata hivyo, baada ya kulala rumande siku moja hatimaye Mkandarasi wa kampuni ya Nyanza ameanza ujenzi wa barabara hiyo ambapo RC Makonda amesema utakuwa mradi wake wa mwisho ndani ya Dar
Kuna barabara ya kilomita moja tabata Kimanga imejengwa kwa miaka mitatu na bado haijaisha!!!Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda amewapiga marufuku Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) kuipa mradi wowote Kampuni ya Ujenzi ya Nyanza ndani ya mkoa wa Dar
RC Makonda ametoa maagizo hayo baada ya Kampuni hiyo kutumia miezi 12 kujenga Barabara ya Kilometa 3.2 ya Kitunda-Kivule ya kiwango cha lami
Hata hivyo, baada ya kulala rumande siku moja hatimaye Mkandarasi wa kampuni ya Nyanza ameanza ujenzi wa barabara hiyo ambapo RC Makonda amesema utakuwa mradi wake wa mwisho ndani ya Dar
Si nasikia kuna bodi inaitwa CRB na ERB wako wapi?Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda amewapiga marufuku Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) kuipa mradi wowote Kampuni ya Ujenzi ya Nyanza ndani ya mkoa wa Dar
RC Makonda ametoa maagizo hayo baada ya Kampuni hiyo kutumia miezi 12 kujenga Barabara ya Kilometa 3.2 ya Kitunda-Kivule ya kiwango cha lami
Hata hivyo, baada ya kulala rumande siku moja hatimaye Mkandarasi wa kampuni ya Nyanza ameanza ujenzi wa barabara hiyo ambapo RC Makonda amesema utakuwa mradi wake wa mwisho ndani ya Dar