johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh Makalla amesema Wamachinga wengi wameanza kuhamia kwenye maeneo mapya waliyopangiwa na serikali.
Makala amesema hakuna mmachinga atakayeachwa afanye biashara sehemu isiyoruhusiwa.
Kinondoni na Temeke zinaongoza kwa wamachinga wake kuitikia wito wa serikali kwa wakati, Jumatatu ndio siku ya mwisho.
Source: ITV habari
Makala amesema hakuna mmachinga atakayeachwa afanye biashara sehemu isiyoruhusiwa.
Kinondoni na Temeke zinaongoza kwa wamachinga wake kuitikia wito wa serikali kwa wakati, Jumatatu ndio siku ya mwisho.
Source: ITV habari