Hivi sasa barabara zetu za Dar es Salaam zina lami pamoja na Mifereji. Lakini naona michanga barabara ni mingi na wafagizi wengi wanamwagia huo mchanga kwenye hiyo mifereji.
Hivyo ni vizuri mkanunua magari ya kufagia barabara na pili hiyo mitaro isafishwe. Maana la stand ya Mbezi na machinga ni gumu kwa sasa linahitaji ushirikishwaji zaidi.
Jingine, la mama lishe Posta nk waambie kama hakuna maji tiririka wataoshaje vyombo hivyo; unawaondoa kwa kutumia njia hiyo. La sivyo, sahani n.k wawe wanaosha kwa maji tiririka.
Hivyo ni vizuri mkanunua magari ya kufagia barabara na pili hiyo mitaro isafishwe. Maana la stand ya Mbezi na machinga ni gumu kwa sasa linahitaji ushirikishwaji zaidi.
Jingine, la mama lishe Posta nk waambie kama hakuna maji tiririka wataoshaje vyombo hivyo; unawaondoa kwa kutumia njia hiyo. La sivyo, sahani n.k wawe wanaosha kwa maji tiririka.