Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,900
- 21,988
Dkt. Mwamposa aliwahi kuonywa hili, tunashukuru amekuwa msikivu
Ukisikiliza matangazo yake aliwakuwa anatangaza wanaingia saa sita wanatoka 6pm mwisho akanza toa watu saa 3 usiku
Vibaka walijazana sana sana wakaripoti husika, dk anaenda sawa 6pm kwenu
Kuna kanisa Temboni Mh. Makalla, watu wameanza kuibiwa usiku wa manane saa 6, si hivyo sidhani sheria zenu mnaruhusu kukaa mpaka mida hii
Kinachoumiza matangazo yake ya ibada wanasema saa 8 mpaka 12 redion nk
Ajabu ibada inaisha saa 6 mpaka saa 7 usiku haipendezi. Angalieni hili
Ukisikiliza matangazo yake aliwakuwa anatangaza wanaingia saa sita wanatoka 6pm mwisho akanza toa watu saa 3 usiku
Vibaka walijazana sana sana wakaripoti husika, dk anaenda sawa 6pm kwenu
Kuna kanisa Temboni Mh. Makalla, watu wameanza kuibiwa usiku wa manane saa 6, si hivyo sidhani sheria zenu mnaruhusu kukaa mpaka mida hii
Kinachoumiza matangazo yake ya ibada wanasema saa 8 mpaka 12 redion nk
Ajabu ibada inaisha saa 6 mpaka saa 7 usiku haipendezi. Angalieni hili