Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,831
- 38,720
Serikali za mitaa zina miradi gani ya kujiingizia mapato mpaka waweze kuwalipa hao mgambo mshahara,au ndio mnataka tuanze kulipishwa 10k kwa kila muhuri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app