pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Machinga wameonewa tu,
Kero hasa kariakoo ni malori
Malori sasa hivi ni mtihani mkubwa sana
Na wanasema eti haya ni ya wakubwa
Ndio maana hawaguswi
So wacha wanyonge tusote tukisubiri magufuli mwingine
Kero hasa kariakoo ni malori
Malori sasa hivi ni mtihani mkubwa sana
Na wanasema eti haya ni ya wakubwa
Ndio maana hawaguswi
So wacha wanyonge tusote tukisubiri magufuli mwingine