johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,613
- 141,436
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Amos Makalla ameviagiza vyombo vya usalama kuhakikisha daladala zinabeba abiria level seat na kwamba wanaoruhusiwa kusimama ni wanafunzi wasiozidi watano.
Wanafunzi watasimama katika umbali wa mita moja kutoka mmoja hadi mwingine na wote wavae barakoa.
Kadhalika abiria wengine wote lazima wavae barakoa.
Chanzo: ITV habari!
Wanafunzi watasimama katika umbali wa mita moja kutoka mmoja hadi mwingine na wote wavae barakoa.
Kadhalika abiria wengine wote lazima wavae barakoa.
Chanzo: ITV habari!