lordchimkwese
JF-Expert Member
- Nov 16, 2015
- 1,914
- 3,343
Kule ngumu coz kuna makubaliano ya aina mbiliNako watawawinda,
1. Malaya anakuja unapotaka wewe geto kwako au gesti
2. Kuna malaya wana vyumba vyao unawafata..
Sasa polisi hapo hata akijifanya mteja sijui ka italeta maana yoyote mana itakua sawa tu na wewe unavomuita demu wako gesti afu unamtumia nauli au unaenda kugonga demu geto kwake afu unamtoa 30 ya kusuka...
Kwa kifupi washafeli....