Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,349
- 28,542
who cares inatoka wapi bwana? hela ni hela tu?Ametoa kutoka kwenye mfuko wake?
Haya mambo ndio yalimfanya Magufuli pesa kuziita pesa zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
who cares inatoka wapi bwana? hela ni hela tu?Ametoa kutoka kwenye mfuko wake?
Haya mambo ndio yalimfanya Magufuli pesa kuziita pesa zake
Upo kwenye shati au surualiBwashee Rais ana mfuko wa dharura....
kwenye BERETI za "KIKOMUNISTI" anazovaa mh. Mbowe.Upo kwenye shati au suruali
Hilo nalo ukalichome motoRais Samia ametoa tsh milioni 100 ili kuboresha soko la Machinga comllex na kuwezesha wamacbinga wote wa kariakoo kuhamia hapo Karume
RC Makalla amesema maboresho yanaanza mara moja ikiwa ni pamoja na kuzungushia uzio wa mabati na kuweka meza za kisasa za kupanga biashara
Chanzo: ITV habari
Yani hii concept serikali imeshindwa kabisa kuelewa, mmachinga hatembei barabarani kisa hana sehemu ya biashara, anakaa barabarani ambapo watu wanapita kutafuta wateja.uzio wa mabati na meza za kisasa 100M?
Machinga complex wafanyabiashara hawapataki wateja wakibongo wanatabia ya uvivu hawatapanda lile gorofa...
Huu UJINGA wa Rais ametoa utaisha lini?Rais Samia ametoa tsh milioni 100 ili kuboresha soko la Machinga comllex na kuwezesha wamacbinga wote wa kariakoo kuhamia hapo Karume
RC Makalla amesema maboresho yanaanza mara moja ikiwa ni pamoja na kuzungushia uzio wa mabati na kuweka meza za kisasa za kupanga biashara
Chanzo: ITV habari
Pale wakarabati tu ila watu hawaendi. halafu hata ruti yake imekaa vibaya mtu apande mwendokasi ashukie gerezani achukue boda??Yani hii concept serikali imeshindwa kabisa kuelewa, mmachinga hatembei barabarani kisa hana sehemu ya biashara, anakaa barabarani ambapo watu wanapita kutafuta wateja.
Wewe unataka kumpeleka floor ya nne huko na kumpatia chumba cha biashara, hapa ndo utajua kuwa tunaongozwa na watu wasiojua uhalisia wa maisha
Ishu bado ni pesa za umma si zake.Kuna mfuko maalum wa raisi.....
nendeni hata shule mjue ABC sio kila kitu kinakuwa kipya kwenu!!??
Hivi wakisema Serikali imetoa watapungukiwa nini? Samia hizo hela anatoa kwa utashi wake au anatoa mfukoni kwake?Rais Samia ametoa tsh milioni 100 ili kuboresha soko la Machinga comllex na kuwezesha wamacbinga wote wa kariakoo kuhamia hapo Karume
RC Makalla amesema maboresho yanaanza mara moja ikiwa ni pamoja na kuzungushia uzio wa mabati na kuweka meza za kisasa za kupanga biashara
Chanzo: ITV habari
Wauze bei za machinga watapata wateja wasiuze kama bei za kinondoniuzio wa mabati na meza za kisasa 100M?
Machinga complex wafanyabiashara hawapataki wateja wakibongo wanatabia ya uvivu hawatapanda lile gorofa.
walishapewa vizimba wakavikimbia.
Kibongobongo mfanyabiashara anamfuata mteja na sio mteja kumfuata mfanyabiashara. Ndio maana mabiashara yamejaa barabarani
Ubaya wa Machinga Coplex huko gorofani utakuwa unauza nini ambacho pale ground floor hakipo??Wauze bei za machinga watapata wateja wasiuze kama bei za kinondoni
Mambo ya kipuuzi kabisa haya.Rais Samia ametoa tsh milioni 100 ili kuboresha soko la Machinga comllex na kuwezesha wamacbinga wote wa kariakoo kuhamia hapo Karume
RC Makalla amesema maboresho yanaanza mara moja ikiwa ni pamoja na kuzungushia uzio wa mabati na kuweka meza za kisasa za kupanga biashara
Chanzo: ITV habari
Huu ndio ujinga..tulio ukataa hizo hela kazitoa kwenye mkoba wake..au hela za watanzania za walipa kodi..wanasiasa wasipo acha upuuzi huu wakujiona ndio wamiliki wa nchi ipo siku..watadharirika.Rais Samia ametoa tsh milioni 100 ili kuboresha soko la Machinga comllex na kuwezesha wamacbinga wote wa kariakoo kuhamia hapo Karume
RC Makalla amesema maboresho yanaanza mara moja ikiwa ni pamoja na kuzungushia uzio wa mabati na kuweka meza za kisasa za kupanga biashara
Chanzo: ITV habari
Mkuu Root sio wanafukuzwa bali wanapelekwa mahali salama kwa biashara zao. Tambua kuwa wamachinga ni wale wanaotembeza biashara zao, hawa hawahitaji eneo la kufanyia kazi.Nawaona Machinga wakifukuzwa KKOO ndani ya siku 30 zijazo