The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,382
- 12,969
Waseme ofisi ya Rais imetoa....!!Bwashee Rais ana mfuko wa dharura....
Waseme ofisi ya Rais imetoa....!!Bwashee Rais ana mfuko wa dharura....
Hiyo pesa hata kufanyia usafi tu kuondoa majivu haitoshi. Wanatuona sisi wajinga sana. Ama ndio kweli hazina haina kitu?uzio wa mabati na meza za kisasa 100M?
Machinga complex wafanyabiashara hawapataki wateja wakibongo wanatabia ya uvivu hawatapanda lile gorofa..
Uzio Ili wote waishie ndani wasionekane nje hiyo ni akili ya ziada inatumika.Yaani uzio wa bati katikati ya mji,,?,sasa wapita njia wataonaje soko?
Mkuu wale wa sokoni kariakoo sio wamachinga hao ni WAJASILIAMALI, Wamachinga hutembea na biashara zao majumbani, stand za mabasi na daladala.Wauze bei za machinga watapata wateja wasiuze kama bei za kinondoni
Hiyo ni pesa ya umma sio ya rais, acheni ushambaBwashee Rais ana mfuko wa dharura....
😲🤣DuuhHiyo ni pesa ya umma sio ya rais, acheni ushamba