was njombe
Member
- Sep 8, 2020
- 6
- 9
Ndugu Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam nakupa hongera kwa nafasi uliyopewa. Mh Rais amekuamini na mimi nakuamini. Miundombinu kama inavyoimarishwa kwa kweli Serikali hii itakumbukwa kwani nia na madhumuni jiji hili lifanane km majiji mengine duniani.
Lakini naomba sana pamoja na Serikali kwa ujumla wake hapa naomba sana Waziri wa Mazingira Mh. Ummy Mwalimu unisikie. Jiji la Dar es Salaam ni chafu Sana na uharibifu wa Mazingira na sasa imekuwa ni tabia ya wakazi kuishi na uchafu.
Mh. Kunenge angalia ninakuonesha bustani za barabara wamachinga wameharibu; yaani barabara zote zenye bustani na mandhari ya mji zimegeuka kuwa dampo na njia za mkato.
Barabara hizi ni kodi zetu na Sheria tunazo lakini tumekwama wapi hata tushidwe kuzitumia? Angalia stendi ya daladala Mbezi Louis kila asubuhi mapema ukifika aibu, mitaro na eneo lote linalozunguka uchafu usio elezeka. Kimara darajan hakufai. Pokea sehem ya ushauri ninaokupa moja.
TANROAD mkoa wa Dar waingie barabarani kuweka zuio. Pili Serikali za mitaa wenyeviti Kama eneo lake lenye haraiki ni chafu basi na yeye ni mchafu afukuzwe kazi.
Asante. Tunaomba namba yako kwa mawasiliano kwa umma ijulikane.
Kwako Mh. Kunenge na Ummy Mwalimu
Lakini naomba sana pamoja na Serikali kwa ujumla wake hapa naomba sana Waziri wa Mazingira Mh. Ummy Mwalimu unisikie. Jiji la Dar es Salaam ni chafu Sana na uharibifu wa Mazingira na sasa imekuwa ni tabia ya wakazi kuishi na uchafu.
Mh. Kunenge angalia ninakuonesha bustani za barabara wamachinga wameharibu; yaani barabara zote zenye bustani na mandhari ya mji zimegeuka kuwa dampo na njia za mkato.
Barabara hizi ni kodi zetu na Sheria tunazo lakini tumekwama wapi hata tushidwe kuzitumia? Angalia stendi ya daladala Mbezi Louis kila asubuhi mapema ukifika aibu, mitaro na eneo lote linalozunguka uchafu usio elezeka. Kimara darajan hakufai. Pokea sehem ya ushauri ninaokupa moja.
TANROAD mkoa wa Dar waingie barabarani kuweka zuio. Pili Serikali za mitaa wenyeviti Kama eneo lake lenye haraiki ni chafu basi na yeye ni mchafu afukuzwe kazi.
Asante. Tunaomba namba yako kwa mawasiliano kwa umma ijulikane.
Kwako Mh. Kunenge na Ummy Mwalimu