kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,301
- 12,600
Kwanza wasizibe njia za waendao kwa miguu, barabara za Mwendokasi na Barabara za Magari mengine
Pili wasifanye biashara mbele ya wafanyabiashara wengine
Tatu msijenge vibanda vya kuuzia biashara na kujikinga na mvua na jua
Mwisho wasipikie mihogo na vitumbua kwenye msongamano wa watu.
Kama mambo yote haya utayakamilisha ipasavyo basi ni kama vile umetangaza kuwafukuza Machinga Dar kwakuwa hizi zote ndio tabia halisi za machinga kwenye mazingira ya jiji, na ndizo zinazowafanya waitwe Machinga.
Bahati mbaya Wamachinga wamelelewa hivyo kukoka moto popote na kupika chochote hata kwenye barabara iendayo airport.
Hakuna namna tusimung'unye maneno, Machinga wafanyekazi halali kwenye maeneo halali.
Pili wasifanye biashara mbele ya wafanyabiashara wengine
Tatu msijenge vibanda vya kuuzia biashara na kujikinga na mvua na jua
Mwisho wasipikie mihogo na vitumbua kwenye msongamano wa watu.
Kama mambo yote haya utayakamilisha ipasavyo basi ni kama vile umetangaza kuwafukuza Machinga Dar kwakuwa hizi zote ndio tabia halisi za machinga kwenye mazingira ya jiji, na ndizo zinazowafanya waitwe Machinga.
Bahati mbaya Wamachinga wamelelewa hivyo kukoka moto popote na kupika chochote hata kwenye barabara iendayo airport.
Hakuna namna tusimung'unye maneno, Machinga wafanyekazi halali kwenye maeneo halali.