UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Haina madhara ndio maana wazanzibar waliyochoma chanjo ya mchina wameletewa na chanjo ya J&J wachome tena ili waweze kwenda Saudia.Kwani haya machanjo ukichoma zaidi ya moja yana madhara? Si viongozi wachomane yote yaliyobaki kabla hayaja expire ikawa hasara kwa Taifa